DOKEZO Ubovu wa barabara maarufu kama Barabara ya Ng’ombe/Mombasa

DOKEZO Ubovu wa barabara maarufu kama Barabara ya Ng’ombe/Mombasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

ishengoma kamuhanda

Senior Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
136
Reaction score
116
Hii barabara ni kongwe inatokea pugu mnada wa ng’ombe hadi Gongo la mboto, Mombasa Ukonga, Banana, Majumba sita, Airport hadi Vingunguti.

Baadhi ya maeneo hasa ikinyesha mvua hapapitiki. Maji toka reli mpya yanakuwa mengi yanazidi kuharibu.

Uongozi ngazi zote wanajua kuanzia Serikali ya mtaa, CCM, diwani, mbunge lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.
 
Ardhi changamoto sana huko kwenda hadi tabata. Kwa uongozi huu wa Rushwa na Uongo. Itakua shughuli. Lbda miaka kingi ijayo. Maana hata mkapa alishindwa
 
Back
Top Bottom