DOKEZO Ubovu wa barabara ya Hoteli tatu kwenda Kilwa Pande

DOKEZO Ubovu wa barabara ya Hoteli tatu kwenda Kilwa Pande

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
81213793_467790923927948_5130531760139927552_n.png
Wakazi wa kulwa pande tuna kero kubwa juu ya barabara hii.

Kila siku tunapigwa kalenda tu kwamba itajengwa kwa kiwango cha lami lakini hakuna utekelezaji.

Serikali itambue wajibu wake, sio kujenga barabara za mitaa za Makao Makuu ya Halmashauri na Kijijini wanakuachia.
 
Nyie Kilwa barabara ya kazingani hiko.
Huko si ndio makao makuu yanuchawi tz.
Kwann msitumie hiyo elimunkubwa ya uchawi ku solve hizo changamoto ?
 
Back
Top Bottom