A Anonymous Guest Nov 28, 2023 #1 Wakazi wa kulwa pande tuna kero kubwa juu ya barabara hii. Kila siku tunapigwa kalenda tu kwamba itajengwa kwa kiwango cha lami lakini hakuna utekelezaji. Serikali itambue wajibu wake, sio kujenga barabara za mitaa za Makao Makuu ya Halmashauri na Kijijini wanakuachia.
Wakazi wa kulwa pande tuna kero kubwa juu ya barabara hii. Kila siku tunapigwa kalenda tu kwamba itajengwa kwa kiwango cha lami lakini hakuna utekelezaji. Serikali itambue wajibu wake, sio kujenga barabara za mitaa za Makao Makuu ya Halmashauri na Kijijini wanakuachia.
Z zwangandaba JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 747 Reaction score 1,404 Nov 28, 2023 #2 Nyie Kilwa barabara ya kazingani hiko. Huko si ndio makao makuu yanuchawi tz. Kwann msitumie hiyo elimunkubwa ya uchawi ku solve hizo changamoto ?
Nyie Kilwa barabara ya kazingani hiko. Huko si ndio makao makuu yanuchawi tz. Kwann msitumie hiyo elimunkubwa ya uchawi ku solve hizo changamoto ?