Kwahiyo jomba, inamaana wanaochukua CBG, nao hawahitajiki muhimbili???
Kwahiyo jomba, inamaana wanaochukua CBG, nao hawahitajiki muhimbili???
Kwenye jukwaa la elimu uzi huu ungekuwa mahahi pake!
Mwaka jana nilishangaa ilipoanzishwa comb wpya ya CBM.
Nilishangaa kwa sababu zifuatazo;
1. Muhimbili hawataki mtu anbaye hajafaulu physics hivyo kusoma CBM kunakuondoa sekta ya afya
2. Engineering inahitaji mtu aliyefaulu physics, hivyo kusoma CBM kunamkosesha mtu sifa ya kuwa engineer
Kwa sababu hizi, watakaosoma CBM watasoma nini chuo kikuu?
Nnashaka yakatokea ya mwaka 2005 pale waziri alipotengeneza somo jipya eti "Physics with Chemistry"
Nawasilisha mada wakuu.
kwani hili jukwaa gan?
Hilo ndo jibu mkuu!
mbona hapa wapo wengi...kitu ambacho hamkijui ni kwamba muhimbili kuna envt sciences...nursing etc
hebu acha uongo kwan muhimbil wanatoa docterate tuu? No reseach no right to speak mbulula wewe!