Watanzania hii fursa ya kurekebisha mitaala ni fursa adhimu sana, ni nafasi ya kuweka mambo mengi sawa lakini fursa hiyo inaweza kupotezwa na watu wachache bila kuwa na maono yoyote wakavuruga.
Mpaka leo najiuliza ni mtaalamu gani anayeweza kutoa mapendekezo butu na kujaribu kuvuruga dira za taifa za maendeleo.
Labda mimi nitangaze conflict of interest kuwa mimi ni mhandisi,
sasa napenda kuwapeleka kwenye historia kidogo
mwaka 1961 wakati tunapata uhuru, taifa halikuwa na "tertiary education", tulichokifanya ni kurekebisha mitaala kuingiza study za kazi na kubadirisha umri wa kuanza na kumaliza shule ili elimu ya chini ili elimu hiyo itoe wafanyakazi.
hiyo haikuwa kutengeneza best education system bali mazingira yaliyokuwepo yalitulazimu. na kuingiza hayo kuna vitu tulivitrade off.
miaka ya 70 tukaingiza ufundi sekondari lengo likiwa ni lile lile.
hapa tulipo tumefanikiwa kutengeneza mfumo wa elimu uliokamilika wenye
moja ya chimbuko la ubovu wa elimu ni mchanganyiko tuliokuwa nao.
mimi kama mhandisi najua kuwa kumekuwa na "myth" kwamba vijana wanaotoka technical schools ni wazuri kuliko ma injinia lakini niwaambie haya ni maneno ya layman asiyejua anachokisema.
labda kuelezea kidogo kuhusu hilo ni kwamba vyuo vikuu hawana practical training nyingi, na kawaida vyuo vikuu vinatakiwa kutoa watu wa menejiment. hivyo hawa wanasoma maelezo zaidi lakini mtu asiyejua setup ya engineering field hastahili kutengeneza sera wala mitaala ya kuelekeza namna field hiyo inavyoweza kuzalisha wataalamu. Mtu yeyote anayepata practical training nyingi ukimpeleka kwenye field anaonekana kukijua hicho kitu zaidi na yule asiye na practical husita sita.
hivyo hivyo ukimchukua kijana aliyemaliza darasa la saba akaenda kariakoo kwa amafundi akashinda anachezea simu, huyo darasa la saba ukimuweka na mtu aliyetoka technical school kuchezea simu wa kariakoo anamshinda mbali wa technical school. planers wa mambo ya elimu ni watu wanaotakiwa kujua dira wanakotakiwa kuelekea lakini si kurudisha mambo ya hatua za nyuma.
lakini wanasema boti inapoanza safari wakati hakuna plani inayoeleweka kuwa tunaenda wapi itashinda baharini ikizunguka, akishika nahodha huyu anapeleka mashariki, akishika huyu anarudisha magaribi akija mwingine utasikia wakati tunaelekea mashariki upepo ulikuwa kidogo hivyo anaacha magharibi na kurudi mashariki tena.
hii sera na mitaala ilitakiwa tuone inaimarisha mfumo wa veta na sekondari zibaki kufanya kazi zake za msingi.
sera na mitaala ni vibovu kwa kuwa utafiti haukufanyika kujua changamoto ni zipi na hivyo mabadiriko yajikite kutatua nini.
bado tuna nafasi ya kurekebisha, ustawi wa jamii yetu kwa vizazi vyetu ni bora kuliko mda na rasilimali tulizokwisha poteza. ni bora tujipe mda wa kutosha kufanya vitu sahihi
Mpaka leo najiuliza ni mtaalamu gani anayeweza kutoa mapendekezo butu na kujaribu kuvuruga dira za taifa za maendeleo.
Labda mimi nitangaze conflict of interest kuwa mimi ni mhandisi,
sasa napenda kuwapeleka kwenye historia kidogo
mwaka 1961 wakati tunapata uhuru, taifa halikuwa na "tertiary education", tulichokifanya ni kurekebisha mitaala kuingiza study za kazi na kubadirisha umri wa kuanza na kumaliza shule ili elimu ya chini ili elimu hiyo itoe wafanyakazi.
hiyo haikuwa kutengeneza best education system bali mazingira yaliyokuwepo yalitulazimu. na kuingiza hayo kuna vitu tulivitrade off.
miaka ya 70 tukaingiza ufundi sekondari lengo likiwa ni lile lile.
hapa tulipo tumefanikiwa kutengeneza mfumo wa elimu uliokamilika wenye
- primary
- secondary
- tertiary
moja ya chimbuko la ubovu wa elimu ni mchanganyiko tuliokuwa nao.
mimi kama mhandisi najua kuwa kumekuwa na "myth" kwamba vijana wanaotoka technical schools ni wazuri kuliko ma injinia lakini niwaambie haya ni maneno ya layman asiyejua anachokisema.
labda kuelezea kidogo kuhusu hilo ni kwamba vyuo vikuu hawana practical training nyingi, na kawaida vyuo vikuu vinatakiwa kutoa watu wa menejiment. hivyo hawa wanasoma maelezo zaidi lakini mtu asiyejua setup ya engineering field hastahili kutengeneza sera wala mitaala ya kuelekeza namna field hiyo inavyoweza kuzalisha wataalamu. Mtu yeyote anayepata practical training nyingi ukimpeleka kwenye field anaonekana kukijua hicho kitu zaidi na yule asiye na practical husita sita.
hivyo hivyo ukimchukua kijana aliyemaliza darasa la saba akaenda kariakoo kwa amafundi akashinda anachezea simu, huyo darasa la saba ukimuweka na mtu aliyetoka technical school kuchezea simu wa kariakoo anamshinda mbali wa technical school. planers wa mambo ya elimu ni watu wanaotakiwa kujua dira wanakotakiwa kuelekea lakini si kurudisha mambo ya hatua za nyuma.
lakini wanasema boti inapoanza safari wakati hakuna plani inayoeleweka kuwa tunaenda wapi itashinda baharini ikizunguka, akishika nahodha huyu anapeleka mashariki, akishika huyu anarudisha magaribi akija mwingine utasikia wakati tunaelekea mashariki upepo ulikuwa kidogo hivyo anaacha magharibi na kurudi mashariki tena.
hii sera na mitaala ilitakiwa tuone inaimarisha mfumo wa veta na sekondari zibaki kufanya kazi zake za msingi.
sera na mitaala ni vibovu kwa kuwa utafiti haukufanyika kujua changamoto ni zipi na hivyo mabadiriko yajikite kutatua nini.
bado tuna nafasi ya kurekebisha, ustawi wa jamii yetu kwa vizazi vyetu ni bora kuliko mda na rasilimali tulizokwisha poteza. ni bora tujipe mda wa kutosha kufanya vitu sahihi