Ubovu wa Taifa stars wakulaumiwa ni TFF

Ubovu wa Taifa stars wakulaumiwa ni TFF

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Nimeona AFRICON iliyopita jamaa AMROACH alitumia approach nzuri ya kukusanya wachezaji kutoka kila kona ya dunia lengo ni kuipa nguvu na heshima bendera ya Tanzania kwenye sekta ya michezo ila naona kuna ujinga/ufinyu wa bajeti ikatufanya tubaki na benchi la ufundi la Simba ikisheheni wachezaji wa Ndani tu as if tunacheza COSAFA.
 
Tuwapongeze sana vijana wamefanya kazi nzuri. Nilichokiona leo ni uoga wa wachezaji wetu kwa wachezaji wakubwa wa mataifa mengine na papara za kupiga pasi bila umakini hasa Mzize ila wakiamua kucheza boli wanaweza. Wanahitaji mtaalamu wa saikolojia kuwapa kujiamini ligi yetu ni bora kwasasa.

Mbinu ya kukaba hadi mpinzani anachoka nasi kuanza kushambulia imetulipa. Twende nayo mechi na DRC.

Wachezaji waongeze mazoezi ya kukimbia sana beach, stamina na kasi ya kukaba na kushambulia.

Otherwise kelele zetu mashabiki ziendelee zinaleta matokeo chanya. Tuwaponde wachezaji kila wakichemsha hasa Feitoto ambae alikuwa na nafasi nzuri ya kufunga kwa ujinga akampasia Balua aliekuwa nyuma. Huyu kijana Fei ana kipaji kikubwa ila mashabiki tunahitaji akioneshe.

Timu imecheza rafu nyingi za kipumbavu na kupewa kadi nyingi ambao labda zingezaa red card, hili lisijirudie.

Gamondi aache kumpiga benchi Mwamnyeto sababu alizubaa mno kuondoa Mpira aliouzuia Baka, Nondo akawa hajielewi kabisa badala ya kuingilia na kuanua Mpira ambao ulizaa goli la kijinga. Mpira ule Job angeanua!

Hongera Kocha Morocco leo umepanga timu nzuri na imetupa raha.
 
Tuwapongeze sana vijana wamefanya kazi nzuri. Nilichokiona leo ni uoga wa wachezaji wetu kwa wachezaji wakubwa wa mataifa mengine na papara za kupiga pasi bila umakini hasa Mzize ila wakiamua kucheza boli wanaweza. Wanahitaji mtaalamu wa saikolojia kuwapa kujiamini ligi yetu ni bora kwasasa.

Mbinu ya kukaba hadi mpinzani anachoka nasi kuanza kushambulia imetulipa. Twende nayo mechi na DRC.

Wachezaji waongeze mazoezi ya kukimbia sana beach, stamina na kasi ya kukaba na kushambulia.

Otherwise kelele zetu mashabiki ziendelee zinaleta matokeo chanya. Tuwaponde wachezaji kila wakichemsha hasa Feitoto ambae alikuwa na nafasi nzuri ya kufunga kwa ujinga akampasia Balua aliekuwa nyuma. Huyu kijana Fei ana kipaji kikubwa ila mashabiki tunahitaji akioneshe.

Timu imecheza rafu nyingi za kipumbavu na kupewa kadi nyingi ambao labda zingezaa red card, hili lisijirudie.

Gamondi aache kumpiga benchi Mwamnyeto sababu alizubaa mno kuondoa Mpira aliouzuia Baka, Nondo akawa hajielewi kabisa badala ya kuingilia na kuanua Mpira ambao ulizaa goli la kijinga. Mpira ule Job angeanua!

Hongera Kocha Morocco leo umepanga timu nzuri na imetupa raha.
Nadhani la mwamunyeto kuzubaa ni somo zuri kwa mabeki kusaidiana na mwenzako anapo jaribu kukaba, (kutafsiri haraka tukio)
 
Back
Top Bottom