Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Ni ukweli usiopingika kwamba ubunge sio tuu kuwakilisha wananchi husika lakini pia ni ajira yenye malipo mazuri na uhakika Kwa kipindi cha miaka 5
Nadhani ni wakati sasa wananchi kuanza kuwapatia fursa watu kutoka Kaya tofauti ili kuboresha Hali za Kaya watokazo.
Nasema hivi Kwa sababu nimeona mifano mingi ya wabunge ambao hawakua na ajira ya kueleweka na maisha Yao yalikua duni lakini Kwa sasa Hali zao ni nzuri Sana kiuchumi..mf ni Mbunge wa Macharii.
Sasa wananchi wakiwa wajanja wanaweza kutengeneza bilionea mmoja katika jamii zao kila baada ya miaka mitano...kuliko kulimbikiza fursa Kwa mbunge mmoja tuu miaka 10 Hadi 20...wakiwa wengi opportunities zinaongezeka pia...
Nadhani ni wakati sasa wananchi kuanza kuwapatia fursa watu kutoka Kaya tofauti ili kuboresha Hali za Kaya watokazo.
Nasema hivi Kwa sababu nimeona mifano mingi ya wabunge ambao hawakua na ajira ya kueleweka na maisha Yao yalikua duni lakini Kwa sasa Hali zao ni nzuri Sana kiuchumi..mf ni Mbunge wa Macharii.
Sasa wananchi wakiwa wajanja wanaweza kutengeneza bilionea mmoja katika jamii zao kila baada ya miaka mitano...kuliko kulimbikiza fursa Kwa mbunge mmoja tuu miaka 10 Hadi 20...wakiwa wengi opportunities zinaongezeka pia...