Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 36
Majimbo ya DSM yanagawanywa: Jimbo la Ubungo litakuwa majimbo mawili, Jimbo la Ubungo lenye kata za Ubungo, Sinza, Manzese, Mabibo, Makurumla, Mburahati na Kigogo. Jimbo jipya la Kibamba litakuwa na kata za makuburi, kimara, mbezi na kibamba. Jimbo la Kawe litakuwa na Jimbo jipya la Bunju. Jimbo la Ukonga litazaa jimbo jipya la Segerea, Majimbo ya Temeke na Kigamboni yatazaa jimbo jipya la Mbagala. Hayo ni mapendekezo ya RCC iliyofanyika leo
PM
MPs work for something larger than themselves. The lead by example and maintain an open and honest dialog with their direct reports and everyone in-between. They have the desire and ability to utilize vision for the benefit of the people. They protect the people and constuency at any cost. They always speak the truth no matter how difficult. They have the complete trust of their wananchi and even non-wapiga kura due to it being earned through years of leading by example, critical conversations, and alignment with people of similar character/karma. They consider it a requirement to mentor others and allow them to grow. They always give credit to the wananchi. They understand they are only as good as the people that follow them. A Mbunge always listens to both sides before making a decision. A Mbunge doesnt micro-manage because it simply is not required. A leader always gives the benefit of the doubt. A leader recognizes that people can be expendable but will do everything they can to motivate, improve, et cetera before making that final decision. Consider the case of Keenja and other Ubunge aspirant for Ubungo !
Kibiongo wewe uko wapi??Mbona kura tulimpigia Mnyika akachaguliwa Keenja?Mbona hilo liko wazi kabisa?Uchaguzi wa 2005 kituo kimoja wapiga kura waliojiandikisha pale Royal EDP ni 3561 Waliopiga kura jumla walikuwa 4,005 tofauti hiyo ilitoka wapi?Tunajua kinachoendelea ndani ya Uchaguzi wa nchi maskini,Hili la Ubungo tunalielewa sisi wakaazi wa huku,Hakuna Mbunge aliyechaguliwa wa chama tawala ambaye maskani yake ni Ubungo.a shida za ubungo siyo maji tuu Mbunge kukutana na watu wake,kujua matatizo ya watu wake nk
Mimi najua kura ni siri ya mpigaji, unaposema mlimpigia Mnyika.........wewe na nani ?? Don't just generalize issues na ku asume kwamba kwa kuwa kijana alijitahidi kujinadi na ukamkuli basi kila aliyehudhuria kampeni zake alimpigia kura.
Hivi ...... niulize swali la kizushi, KURA ZINAIBIWAJE ????? Nauliza hivi kwa kuwa huu umekuwa ni msamiati wa kila mara baada ya uchaguzi. Nani wanaoiba, na wanaibaje. Halafu hao wanaoibiwa wanakuwa wapi na wakati gani wanatambua kuwa wameibiwa.
100% correct.Kuletewa ??? !!!!!! Wacha nikushangae kidogo. Mnaletewa na nani ?? Kwani mmlazimishwa ?????? Nawe ukitaka si kagombee.....unalalamika wakati kisu unacho mkononi !!! Usijidhalilishe wa kwetu.
Mkuu unauhakika wanafanya wizi wa kura, weka vithibitisho hapa jamvini na si kuongea kinadharia tu.