MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 187
Wakuu,
Nimekuwa nikisikia harakati zinazoendelea huko CCM kuhusu kuwania viti maalumu wanawake, walemavu, vijana, wafanyakazi na zingine. Inavyoonyesha karibu kila mkoa wanatoa washindi wawili ambao wanatangazwa kuwa wameshinda viti maalumu. Sielewi hizi hesabu zinaendaje, hasa ukizingatia kuwa idadi ya mikoa ya Tanzania na idara zote zilizopo CCM, hainiingia akilini kuwa tunahitaji kuwa na wabunge wote hao kwa fedha za walipa kodi ambao kimsingi hakuna wanachokifanya zaidi ya kuongeza uwingi au kura za CCM.
Nilichokuwa najua ni kuwa viti maalumu vinatolewa kutokana na asilimia ya wabunge ambao chama husika inapata katika uchaguzi mkuu, inakuwaje hao wanatangazwa washindi wakati hawajui kwa yakini hicho chama chao kitapata asilimia ngapi ya wabunge kwenye uchaguzi ujao? Inawezekana ninakosa facts, mwenye ufafanuzi tafadhali....
Nimekuwa nikisikia harakati zinazoendelea huko CCM kuhusu kuwania viti maalumu wanawake, walemavu, vijana, wafanyakazi na zingine. Inavyoonyesha karibu kila mkoa wanatoa washindi wawili ambao wanatangazwa kuwa wameshinda viti maalumu. Sielewi hizi hesabu zinaendaje, hasa ukizingatia kuwa idadi ya mikoa ya Tanzania na idara zote zilizopo CCM, hainiingia akilini kuwa tunahitaji kuwa na wabunge wote hao kwa fedha za walipa kodi ambao kimsingi hakuna wanachokifanya zaidi ya kuongeza uwingi au kura za CCM.
Nilichokuwa najua ni kuwa viti maalumu vinatolewa kutokana na asilimia ya wabunge ambao chama husika inapata katika uchaguzi mkuu, inakuwaje hao wanatangazwa washindi wakati hawajui kwa yakini hicho chama chao kitapata asilimia ngapi ya wabunge kwenye uchaguzi ujao? Inawezekana ninakosa facts, mwenye ufafanuzi tafadhali....