Superleta JF-Expert Member Joined Aug 2, 2019 Posts 575 Reaction score 655 Mar 2, 2025 #1 Huko kibangu mitaa ya kajima wananchi wana miezi 3 hawajaona maji Mbunge Kitila badala atatue kero ameleta matank ambayo hayajulikani ni nani mmiliki kwa ajili ya kuuzia wananchi maji Hali ni mbaya mno, watu wamelalamika hadi wamechoka
Huko kibangu mitaa ya kajima wananchi wana miezi 3 hawajaona maji Mbunge Kitila badala atatue kero ameleta matank ambayo hayajulikani ni nani mmiliki kwa ajili ya kuuzia wananchi maji Hali ni mbaya mno, watu wamelalamika hadi wamechoka
Superleta JF-Expert Member Joined Aug 2, 2019 Posts 575 Reaction score 655 Mar 2, 2025 Thread starter #2 NIMEONA NIWEKE LINK YA DAWASA HAPA WANANCHI WANALALAMIKA WANAJIBIWA HOVYO TUNAOMBENI MSAADA HAPA JF[emoji1313] DAWASA - TABATA CODE N0104 WhatsApp Group Invite chat.whatsapp.com
NIMEONA NIWEKE LINK YA DAWASA HAPA WANANCHI WANALALAMIKA WANAJIBIWA HOVYO TUNAOMBENI MSAADA HAPA JF[emoji1313] DAWASA - TABATA CODE N0104 WhatsApp Group Invite chat.whatsapp.com