uliza pesa yake ni bei gani hapo....na je, hii ni ya muhimu kuliko kulipia wanafunzi vyuoni, kujenga shule za maana, kulipa mishahara na maisha mauziri kwa walimu wetu ili wafundishe vizuri, kujenga hospitali, kujenga barabara zinazounganisha miji na miji kuliko zilizoko mjini ndani etc. hapo ndo utapata jibu kamili kama inawezekana kuwa hivi tz au la! na tunahitaji karne ngapi kufikia hapo....
watakubali kupunguza garama za administration ya selikali yao...mashangingi yatafutwa, ufisadi utapigwa vita bila unafiki?...etc. kama majibu yote hapo ni No...pesa kama hiyo tutapata wapi?..tutakinga bakuli?...