Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 575
- 655
Ubungo:Watumishi wa Dawasa wanawajibu wananchi hovyo ni baada ya wananchi kukaa miezi 3 bila maji
Ubungo kibangu mtaa wa kajima watu wana miezi 3 bila maji, dawasa wamezuia maji kwa maksudi halaf wanaleta magari yao ili wauzie wananchi maji
Dumu la maji limefika 2000!!
Watu wana miezi 3 bila maji!!
Ubungo kibangu mtaa wa kajima watu wana miezi 3 bila maji, dawasa wamezuia maji kwa maksudi halaf wanaleta magari yao ili wauzie wananchi maji
Dumu la maji limefika 2000!!
Watu wana miezi 3 bila maji!!