Ubunifu au kuonekana tofauti?

Kibunago

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2008
Posts
300
Reaction score
122
Muda mfupi Lady Gaga ameingia red carpet akiwa ndani ya 'YAI KUBWA. Leo anasubiri kutotolewa ndo aoneshe vitu vyake.
Ubunifu wake au kuonekana kwake tofauti ni kama wa Msanii wetu Mzee wa farasi, Mzee wa Winchi, Mzee wa Kijiko- Ally Chocky ambaye naye huwa anaingia kwa staili mbalimbali zinazoacha magumzo.

 
Lady Gaga wa hapa au yule mwingine?
 
EMT hapa wapi au mwingine yupi? Nimeweka picha utafahamu ninayemwongelea kwenye Grammy awards zitatolewa punde!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…