Mheshimiwa spika, naomba kuongeza hoja mbili tatu:
1 Kama mtoto wa kike anavunja ungo, basi wa kiume avunje mwiko.
2 Kama mbuzi inakuna nazi kondoo nayo ipewe cha kukuna.
3 Mheshimiwa spika tuwasaidie wale wasioota ndoto usiku kwa kuwashauri kuweka mbolea chini ya mito yao.
Kweli mkuu? Ntagombea kwa tiketi ya TLP jimbo la Arusha mjini. Namwondoa Godbless.Gombea 2020 una kura yangu.
Huo mwaka nomba mbunge Livingstone Lusinde (kibajaji) awe raisi na mbunge msukuma awe waziri mkuu itapendeza ZaidiKama nitabahatika kuwepo bungeni hoja zako zote mheshimiwa nitaziunga mkono zote isipokuwa hoja No.2 haija faida ya moja kwa moja kwa walalahoi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mheshimiwa spika, naomba kuongeza hoja mbili tatu:
1 Kama mtoto wa kike anavunja ungo, basi wa kiume avunje mwiko.
2 Kama mbuzi inakuna nazi kondoo nayo ipewe cha kukuna.
3 Mheshimiwa spika tuwasaidie wale wasioota ndoto usiku kwa kuwashauri kuweka mbolea chini ya mito yao.