Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Spika na wabunge wanaweza kuwa mfano katika kutengeneza, kuchochea ajira, kazi na ubunifu ndani ya tanzania
Sasa kama changamoto badala ya kuvaa suti tu bungeni ambazo nyingi zimetengenezwa majuu. kwa nini spika asifanye siku angalau moja iwe ya kuvaa vazi la vitenge kwa wabunge wanaume na wanawake.
Naamini kwa sheria hii kuna ajira zitaongezeka, ubunifu , na tutakuza uzalendo pia. Zaidi ya hapo wabunge watakuwa mafano wa kuwafanya wanachi wapende bidhaa zilizotengenzwa nyumbani. Na hata kama mavazi haya ya vitenge hayatakuwa ya tanzania basi yatakuw ya afrika.
Nawasilisha
Sasa kama changamoto badala ya kuvaa suti tu bungeni ambazo nyingi zimetengenezwa majuu. kwa nini spika asifanye siku angalau moja iwe ya kuvaa vazi la vitenge kwa wabunge wanaume na wanawake.
Naamini kwa sheria hii kuna ajira zitaongezeka, ubunifu , na tutakuza uzalendo pia. Zaidi ya hapo wabunge watakuwa mafano wa kuwafanya wanachi wapende bidhaa zilizotengenzwa nyumbani. Na hata kama mavazi haya ya vitenge hayatakuwa ya tanzania basi yatakuw ya afrika.
Nawasilisha