Ubunifu Tizama Weka Maoni Yako

Ubunifu Tizama Weka Maoni Yako

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Nimeangalia sana hii kitu. Yaani tunatumia gharama kununua vitanda bure.

Hii kitu unaweza tumia tu tofali, zege na ukachanganya tiles ikatoka safi zaidi ya hapo
FB_IMG_16216963665132706.jpg
 
Je umefikiria siku zege likikatika maafa yatakayotokea!?
 
Nimeangalia sana hii kitu. Yaani tunatumia gharama kununua vitanda bure.

Hii kitu unaweza tumia tu tofali, zege na ukachanganya tiles ikatoka safi zaidi ya hapoView attachment 1794134
Ni vyema ungejua mchanganuo wake mpaka kukamilika chaweza tumia kiasi gani ili ujue unafuu wa gharama maana hoja ni unafuu.

Sasa jiulize, kitanda cha mbao ama cha chuma cha ukubwa huo ama kitanda hicho kipi bei unafuu???

Kipi kinatumia mahitaji mengi na gharama kiasi gani mpaka kukamilika walau kwa makadirio tu??


Hebu tazama vizuri, zege, mchanga, kokoto, nondo, malipo ya fundi, tiles, cement na matofali.
 
Faida yake sio kutumia zege badala ya mbao, faida ni kuwa inachukua eneo dogo
 
Back
Top Bottom