wangewange
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 189
- 43
Habari wanajukwaa;
Naomba kujuzwa wapi naweza kupata kitambaa kama cha mpira niweze kushona sketi kwa ajili ya sketi fupi (penseli).
Maana nataka nibuni sketi nikajaribu kufanya biashara. Naskia Dar es salaam inawezekana lakini sijajua Dar sehemu gani.
Sihitaji vitambaa special itakua cost sana.
Naomba kujuzwa wapi naweza kupata kitambaa kama cha mpira niweze kushona sketi kwa ajili ya sketi fupi (penseli).
Maana nataka nibuni sketi nikajaribu kufanya biashara. Naskia Dar es salaam inawezekana lakini sijajua Dar sehemu gani.
Sihitaji vitambaa special itakua cost sana.