Ubunifu wa ukumbi wa sherehe msituni;Tumuunge mkono mshana jr kwenye topics zake za ubunifu

Ubunifu wa ukumbi wa sherehe msituni;Tumuunge mkono mshana jr kwenye topics zake za ubunifu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Huyu mshana ni kichwa sana mwisho wa mwaka akija kupewa tuzo ya content bora za ubunifu msije kuona kapendelewa tusimnyanyase tumpe maua yake aiseee.

Kitambo sana sijapost kwa mwezi wote wa pili nilikuwa busy sana kuwabembeleza kuku wangu wanitagie na kutonoa mayai na kweli wamefanya hivohivo pia nilisoma sana kiini cha vita congo kuufatilia kiundani historia ya mgogoro wa congo sasa leo nikajipata kidogo chaguo likawa ninywe Nini kati ya IMAGE WINE AU BLACK AND WHITE AU VICEROY NIKADONDOKEA KWA VICEROY NAOMBA MODS MAADA YANGU MUIACHE ..

Anyway na me nikaona nije na hii wedding party kumbe unaweza kufanyia hata porini sio lazima venue za kukodi.Mnasemaje hapo ukaenda zako porini na jenereta lako ukaliweka mbali taa kama hizo na katoilet kadogo ka temporary mambo ikawa nzuri kabisa..kwa huku kusini nilipo napendekeza maeneo ya kufanyia ni katika misitu ya ndanda,nyangao,rondo,rutamba,nandete,Ila kama ukipata maeneo yenye mfanano na lushoto aisee utapenda.

Naam thread ndo inakwenda hivyo kwa hisani ya VICEROY

Nakala kwa Mshana Jr

images (7).jpeg
images (6).jpeg
images (4).jpeg
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    65.8 KB · Views: 1
Changamoto ni hizi picha tunazipakua na kuzipost haoa hatuna hata moja ambayo tunaweza kusema tumebuni sisi.
 
Huyu mshana ni kichwa sana mwisho wa mwaka akija kupewa tuzo ya content bora za ubunifu msije kuona kapendelewa tusimnyanyase tumpe maua yake aiseee.

Kitambo sana sijapost kwa mwezi wote wa pili nilikuwa busy sana kuwabembeleza kuku wangu wanitagie na kutonoa mayai na kweli wamefanya hivohivo pia nilisoma sana kiini cha vita congo kuufatilia kiundani historia ya mgogoro wa congo sasa leo nikajipata kidogo chaguo likawa ninywe Nini kati ya IMAGE WINE AU BLACK AND WHITE AU VICEROY NIKADONDOKEA KWA VICEROY NAOMBA MODS MAADA YANGU MUIACHE ..

Anyway na me nikaona nije na hii wedding party kumbe unaweza kufanyia hata porini sio lazima venue za kukodi.Mnasemaje hapo ukaenda zako porini na jenereta lako ukaliweka mbali taa kama hizo na katoilet kadogo ka temporary mambo ikawa nzuri kabisa..kwa huku kusini nilipo napendekeza maeneo ya kufanyia ni katika misitu ya ndanda,nyangao,rondo,rutamba,nandete,Ila kama ukipata maeneo yenye mfanano na lushoto aisee utapenda.

Naam thread ndo inakwenda hivyo kwa hisani ya VICEROY

Nakala kwa Mshana Jr

Naam thread ndo inakwenda hivyo kwa hisani ya VICEROY😀😀😀😀
 
Changamoto ni hizi picha tunazipakua na kuzipost haoa hatuna hata moja ambayo tunaweza kusema tumebuni sisi.
Huu ndio msingi kwa wenzetu waliotutangulia.. Kutoka hapa tu tunaweza sasa kuamsha ari ya udadisi na kwa mazingira wezeshi tunaweza kutengeneza vya kwetu nasisi kisha picha zetu nazo zikawa mitandaoni kama za wenzetu
 
Huyu mshana ni kichwa sana mwisho wa mwaka akija kupewa tuzo ya content bora za ubunifu msije kuona kapendelewa tusimnyanyase tumpe maua yake aiseee.

Kitambo sana sijapost kwa mwezi wote wa pili nilikuwa busy sana kuwabembeleza kuku wangu wanitagie na kutonoa mayai na kweli wamefanya hivohivo pia nilisoma sana kiini cha vita congo kuufatilia kiundani historia ya mgogoro wa congo sasa leo nikajipata kidogo chaguo likawa ninywe Nini kati ya IMAGE WINE AU BLACK AND WHITE AU VICEROY NIKADONDOKEA KWA VICEROY NAOMBA MODS MAADA YANGU MUIACHE ..

Anyway na me nikaona nije na hii wedding party kumbe unaweza kufanyia hata porini sio lazima venue za kukodi.Mnasemaje hapo ukaenda zako porini na jenereta lako ukaliweka mbali taa kama hizo na katoilet kadogo ka temporary mambo ikawa nzuri kabisa..kwa huku kusini nilipo napendekeza maeneo ya kufanyia ni katika misitu ya ndanda,nyangao,rondo,rutamba,nandete,Ila kama ukipata maeneo yenye mfanano na lushoto aisee utapenda.

Naam thread ndo inakwenda hivyo kwa hisani ya VICEROY

Nakala kwa Mshana Jr

Hapo nyuma tulianza kuachana na huu utaratibu wa kufanyia sherehe mbalimbali kwenye hizi kumbi (za mikutano) lakini sasa naona tunarudi kwa kasi na shida ni moja tuu hatuna locations mbadala zinazovutia/ zinazofaa kwa hizi shughuli.. Miundombinu pengine na usalama pia ni changamoto
Huko mikoani yapo maeneo mazuri sana lakini sio mengi.. Hongera kwa mada nzuri yenye ubunifu wa ziada
 
Back
Top Bottom