Tetesi: Ubuyu Exclusive; Tunda Sabasita abeba mimba ya diamond platnumz

Dai noma sana mngejua hadi Wema sepetu alimpiga mimba ikachomoka mwezi wa sita this year sijui mngesemaje?[emoji23]
Najua mngesema wema kalogwa
heeeee bestito ya kweli haya unayotype hapa lete ubuyu basi weka uziiiii weraaaaaaaweraaaaaaaaaaa
 
Nasikia Ommy Dimpo nae anamimba ya King. Hawa SHILAWADU hawana adabu kabisa!
 
Sipati picha mambo ya child support hapo
 
Fake account hiyo.
Mtu kabadili yake mnaweuka duh!!!
 
Sifa kuu ya Watu wa kigoma (Waha) ni kutupia mimba sanaaa hilo lipo wazi..
Mondi endelea kudumisha mila Mpaka pumbou zitoe hewa..

[HASHTAG]#MwanaumeMgegedo[/HASHTAG]
Kama kakaake kiba
 
Diamond anajitia uwakimataifa ila bado anakula mademu wachafuwachafu,kidemu kimejaa mikorogo kimekuq kama ubuyu..madema matawi hawaoni ama!?bora kidogo hata na diamond kina ndo doooh..
Mademu wa kimataida gharama anakwepa gharama anataka Hawa wakujipeleka wenyewe
 
Jamaa ana mpango wa kuanzisha shule nini? Huo uzao kila kukicha unatisha. Mtaji kwa mabinti, endeleeni kudai matuzo.
 
Sasa Diamond si mgodi wacha wadada wachimbe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…