Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki moja kwa wiki? na inatakiwa kusoma kwa wiki ngapi vilee???Unatengenezwa znz kwa babu issa kama mtu unataka kujifunza ana charge laki moja kwa wiki...
Laki moja kwa wiki? na inatakiwa kusoma kwa wiki ngapi vilee???
Ohh hapo sawa.Wiki ngap za kusoma inategemea na akili yako na pesa yako....km mwepes kuelewa wiki hiyohyo moja tu
Ina maana nyie Wazanzibar wenzangu hampo au dharau? Kwa hisani yenu tuelekezeni jamani, mana wengine sie tuna mimba changa so plzzzzzzz jamani,
I hv n idea..unateleka maji glas moja na sukari nusu kg unatengeza shira. Unaweka tangawizi kidogo na pili manga , arki unayopenda potessa, vanilla au yyt. Jinsi yakuijua km imewiva chukua kibakuli weka maji kidogo halafu weka tone la shira ndani ya kibakuli likichawanyika haijawiva km litaenda chini moja kwa moja itakua imewiva..unachanganya na mabuyu yako uliyochambua unapeta peta hadi yanakauka. Wengine wakati wa kupeta hapa huongeza sukari kidogo iliosagwa....recipe ya babu issa hii......kiding@
Was kiding my dear.....hao wajuzi hua hawatoagi siri cjui wanaogopa mtu akiiga wataua biashara....everyone is nt farkhina....hahaha asante mamii kwa kutuekea wazi mapishi tofauti... nasubiria ya uhindini....lolsHahahahaha eti recipe ya babu issa lol....sio ya kiponda?
Ilinibidi nifike hadi pale kiponda nijionee mwenyewe. Afu siku hizi wanazidi kupandisha bei
Nn kiponda, mambo kwa babu issa jaws corner pale.