Uchafu kwenye uti wa mgongo

phanta

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
59
Reaction score
15
Mgonjwa wangu anasumbuliwa na mgongo juu ya kiuno kidogo alipiga xray wakamwambia pingili azina shida ila ana uchafu pembeni ya uti wa mgongo dawa kamaliza ila bado anapata maumvi je hii utokana nini na tiba yake asanten sana
 
Tunavoelekea mwisho wa dunia kutakuwa na maradhi yasiyo elezeka na hata tiba hazieleweki mungu tupe mwisho mwema
 
Mwambie akapime kipimo cha CSF hospital anaweza pata majibu sahihi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…