Uchafu ni hulka au tabia?

Uchafu ni hulka au tabia?

Ustaadh

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
413
Reaction score
19
Kumezuka tabia ya wananchi kutupa taka mahali popote (mfano kando ya barabara) na tunaona ni jambo la kawaida. Hakuna anayejali kwani tunachukulia kuwa si jukumu letu. Nani alaumiwe na kitu gani kifanyike kuondoa kadhia hii?
 

Attachments

  • _takatakahizo.jpg
    _takatakahizo.jpg
    46.9 KB · Views: 171
Back
Top Bottom