Uchafu unaofanywa na wasanii wetu wa bongo wawapo location.. See images!

duh hv mleta uzi na wachangiaji wa enzi hizo bado mpo kweli? cha ajabu nini hapo?... aiseee afadhali kipind hicho nilikuwa bado kinda...
 
wajameni whats wrong hapo?!!? si wako location?!? inawezekana ni kipengele kinachohusiana na beach au swiming pool sheraton hotel.ndugu zangu tamaa zenu za mwili zisiwaongoze kuchafua watu wakiwa kwenye kazi zao halali
 
Hizi ni movie za tsh million5 ndio wanafanya ujinga huo,
Ukute Movie Budget ni mill 80$ unaanzaje kwanza, kazi hazilipi wanaishia kufanya umalaya,

Oops kumbe ni bongomovie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…