Ndugu wanajukwaa hali maadili ya sasa katika vyuo vikuu vyetu vya uma na vile vya binafsi inazidi kuwa mbaya huku watoto wa kike wakitembea nusu uchi na kuranda randa katika kumbi za starehe,kwa mujibu wa utafiti nilioufanya kwa kutembelea vyuo kadhaa hapa nchini,taaluma imeporomoka kwa asilimia 30 ukilinganisha na miaka ya 1980.
Je ni kweli kua kuanguka kwa taaluma ni zao la kuporomoka kwa maadili?kama ni kweli kuna haja yoyote ya serikali kuingilia kati suala la maadili na kutunga upya sheria zinazopunguza uhuru wa mwanachuo?je mfumo wa kimaadili katika vyuo vikuu vyetu vya umma na vile visivyo vya umma kuna haja yoyote ya kuufanya kama ule wa vyuo vya ualimu?au waendelee na mfumo wa sasa wa udhibiti wa maadili?au vyuo viige mfumo wa kile chuo cha waislam cha morogoro ambacho tunakisikia wazazi na waume wenye wake zao wakikisifia kwa namna kinavyo dhibiti suala la maadili na kulinda utamaduni wa mtanzania?
Nini mtazamo wako katika hili,tukiache kizazi kiteketee kwa utamaduni wa kimagharibi na kuingia na viroba Darasani au tandamane kuishinikiza serikali kulichukua hili ka ma janga la kitaifa?AU VITENDO VYA ULEVI,KUA NA BOY/GIRL FRIEND,UKAHABA VIMINI NA KATA K,n.k ndio vigezo vya usomi?
Je ni kweli kua kuanguka kwa taaluma ni zao la kuporomoka kwa maadili?kama ni kweli kuna haja yoyote ya serikali kuingilia kati suala la maadili na kutunga upya sheria zinazopunguza uhuru wa mwanachuo?je mfumo wa kimaadili katika vyuo vikuu vyetu vya umma na vile visivyo vya umma kuna haja yoyote ya kuufanya kama ule wa vyuo vya ualimu?au waendelee na mfumo wa sasa wa udhibiti wa maadili?au vyuo viige mfumo wa kile chuo cha waislam cha morogoro ambacho tunakisikia wazazi na waume wenye wake zao wakikisifia kwa namna kinavyo dhibiti suala la maadili na kulinda utamaduni wa mtanzania?
Nini mtazamo wako katika hili,tukiache kizazi kiteketee kwa utamaduni wa kimagharibi na kuingia na viroba Darasani au tandamane kuishinikiza serikali kulichukua hili ka ma janga la kitaifa?AU VITENDO VYA ULEVI,KUA NA BOY/GIRL FRIEND,UKAHABA VIMINI NA KATA K,n.k ndio vigezo vya usomi?