maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Hamna hata salamu,
Hili eneo ni chafu. Lipo karibu na ikulu na maofisi makubwa.
Idara inayohusika na usafi wa mazingira ya bahari na nchi kavu huwa wakienda ofisini kazi yao ni ipi?
Na sisi wananchi, hivi ni mpaka kampeninya usafi ifanywe ndio tujue umuhimu wa usafi?
Hebu tubadilike.
Watu wamependeza jumapili hii lakini bahari na mazingira mengine ni sifuri kabisa.
Sina haja ya kuweka picha
Hili eneo ni chafu. Lipo karibu na ikulu na maofisi makubwa.
Idara inayohusika na usafi wa mazingira ya bahari na nchi kavu huwa wakienda ofisini kazi yao ni ipi?
Na sisi wananchi, hivi ni mpaka kampeninya usafi ifanywe ndio tujue umuhimu wa usafi?
Hebu tubadilike.
Watu wamependeza jumapili hii lakini bahari na mazingira mengine ni sifuri kabisa.
Sina haja ya kuweka picha