KERO Uchafu wa chandarua katika baadhi ya zahanati, vituo vya afya, na hospitali ni changamoto kwa wagonjwa

KERO Uchafu wa chandarua katika baadhi ya zahanati, vituo vya afya, na hospitali ni changamoto kwa wagonjwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Hii ni Changamoto Kubwa Jamani na usiombe kulazwa ukayaona.

Lakini ukiachilia uchafu pia neti hizo ni ndogo.

Mfano kwa mama na mtoto wake mchanga neti mmeichomeka inawagusa Gusa na hiki kitu kinakera sana.
Usiku kucha neti imewalalia mbu kuwang’ata kuko pale pale.

Sekta ya Afya iangalie hili suala ni kero Jamani.

Ni muhimu kujenga tabia ya kubadilisha neti kila baada ya muda fulani.
 
Back
Top Bottom