A
Anonymous
Guest
Habari
Naomba mtusaidie kupanza sauti kwa mamlaka zinazohusika, Kutokana na uchafu uliokithiri vyoo vya Chuo Kikuu Dodoma na hali iliyopo kwa sasa ya masika muda wowote kutatokea magonjwa ya mlipuko ambayo yataleta madhara makubwa.
Vyoo vyote hususani Humanity ni vichafu kupindukia, matundu yameziba, havina maji hali ni mbaya sana
Naomba mtusaidie kupanza sauti kwa mamlaka zinazohusika, Kutokana na uchafu uliokithiri vyoo vya Chuo Kikuu Dodoma na hali iliyopo kwa sasa ya masika muda wowote kutatokea magonjwa ya mlipuko ambayo yataleta madhara makubwa.
Vyoo vyote hususani Humanity ni vichafu kupindukia, matundu yameziba, havina maji hali ni mbaya sana