Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kulambishwa asali ndio kufanyaje ?Siasa bhana, Kwahy muda huu ungekuta nae Kikwete analambishwa asali [emoji23]
Muulize Mbowekulambishwa asali ndio kufanyaje ?
Hii nchi hata kichaa anaweza kuwaEti mtu bogus kama huyo nae amewahi kuwa Rais wa nchi.
Kwa hiyo ?Chadema walimtaka Lyatonga Mrema ila aliwakatalia kwa sababu kingeomekana ni Chama cha Kikabila
JK asingefikiria kujiunga na Chama cha kabila fulaniKwa hiyo ?
Ukisha kuwa verified user lazima uwe na akili mbovuSiasa bhana, Kwahy muda huu ungekuta nae Kikwete analambishwa asali 😂
Sawa mamaaUkisha kuwa verified user lazima uwe na akili mbovu
whatever, a Rose flower will smell rosier whatsoever name you call it1Sawa mamaa
[emoji38][emoji38][emoji38]Ukisha kuwa verified user lazima uwe na akili mbovu
Eti mbwa kama wewe una simu janjaEti mtu bogus kama huyo nae amewahi kuwa Rais wa nchi.
Kwani si bado ni chama bado si cha kikabila,kwani kilibadilika lini?Chadema walimtaka Lyatonga Mrema ila aliwakatalia kwa sababu kingeomekana ni Chama cha Kikabila
Nguvu huletwa na watu .1995 CDM kilikuwa na nguvu kiasi Gani kulinganisha na CUF na NCCR ?
Weeee !!!Ridhiwani Kikwete alipohojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa babu yake (baba yake na JK) alimuambia amlinde JK asije kwenda nje ya CCM kwani baada ya ule mchakato watu wa vyama pinzani walianza kumnyemelea.