Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
mimi naona jeikei haitaji kura za wafanyakazi..............
HAZINA MAANA SANA KWAKE,kwasababu wafanyakazi wenyewe ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wengi wenye njaa zao......
sasa kwa vile jeikei orede ameshika mpini,anahitaji mbinu kubwa tatu:
1-money
2-tricks
3-dirty games
jamaa zenu tukta WAMESHAMSOMA,na wameona in a long run ITAKULA KWAO!wameamua wanyooshe (wanaogopa kutokumbukwa kwenye ufalme wa jeikei 2010-2015)
jeiefu kama kawaida kelele mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,halafu KIMYA KIKUU KINAFUATA!
ushauri:mods wangelifunga jukwaa la uchaguzi na jukwaa la politiks,maanake ninaona kama tunapotezeana muda.wangeweka jukwaa la malavidavi MARA MBILI ZAIDI.
mpaka sasa orede tunajua raisi ni nani,kwanini tupoteze muda?
HAZINA MAANA SANA KWAKE,kwasababu wafanyakazi wenyewe ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wengi wenye njaa zao......
sasa kwa vile jeikei orede ameshika mpini,anahitaji mbinu kubwa tatu:
1-money
2-tricks
3-dirty games
jamaa zenu tukta WAMESHAMSOMA,na wameona in a long run ITAKULA KWAO!wameamua wanyooshe (wanaogopa kutokumbukwa kwenye ufalme wa jeikei 2010-2015)
jeiefu kama kawaida kelele mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,halafu KIMYA KIKUU KINAFUATA!
ushauri:mods wangelifunga jukwaa la uchaguzi na jukwaa la politiks,maanake ninaona kama tunapotezeana muda.wangeweka jukwaa la malavidavi MARA MBILI ZAIDI.
mpaka sasa orede tunajua raisi ni nani,kwanini tupoteze muda?