Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Naona watu wamemchoka Lusinde ! Darasa la 4 muda aliochuma unamtosha. Hizi siyo zama za Mbunge kutukana , kuleta porojo na kuchekesha watu Bungeni badala ya kudeal na mambo yanayowagusa wanaMtera.
Kuna wasomi wazuri kabisa tena vijana ambao wamegombea , japo rushwa imetamalaki sana, Lusinde anawapa wajumbe pesa nje nje ili wampitishe.
Kibaya zaidi , Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndg. Gombo yupo pamoja na Lusinde tokea 2010. Anakula rushwa taratibu tu. Na inasemekana tayari wana matokeo yao.
Hivi karibuni Lusinde alijitapa kuwa lile jimbo hata aende Waziri Mkuu hatashinda, yeye anawajua wagogo wake!
Tuna matumaini yetu kuwa vikao vitatenda haki walau tupate Mbunge anayejielewa na aliyeenda shule ili akawasemee wananchi wake.
Tunashukuru Takukuru mpo macho kama mbwa wa askari.
Kuna wasomi wazuri kabisa tena vijana ambao wamegombea , japo rushwa imetamalaki sana, Lusinde anawapa wajumbe pesa nje nje ili wampitishe.
Kibaya zaidi , Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndg. Gombo yupo pamoja na Lusinde tokea 2010. Anakula rushwa taratibu tu. Na inasemekana tayari wana matokeo yao.
Hivi karibuni Lusinde alijitapa kuwa lile jimbo hata aende Waziri Mkuu hatashinda, yeye anawajua wagogo wake!
Tuna matumaini yetu kuwa vikao vitatenda haki walau tupate Mbunge anayejielewa na aliyeenda shule ili akawasemee wananchi wake.
Tunashukuru Takukuru mpo macho kama mbwa wa askari.