Tetesi: Uchaguzi 2020

Tetesi: Uchaguzi 2020

ze farmer

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
922
Reaction score
1,804
Kwa mjibu wa vyanzo vyangu binafsi vinanimbia wabunge wa upinzani hawatarudi bungeni mwakani na baadhi wanaompinga bwana yule. List ni ndefu. Na hawa wawili walioko Mahabusu ndo washa wekewa alama nyekundu toka kitambo. Na kuna mtu mzito anaweza kusahaulika kabisa.
Inshort Watapigwa chenga moja hatari sana na hawa wabobezi wa vyenga. Mkakati uliopo mezani ni kuwa hakuna kiongozi wa upinzani atatokea mjengoni mwakani. Ni suala la kusubiri muda tu ufikie.
Mwisho wa demokrasia nchini ni 2020. Na hii inaratibuiwa na wasomi ambao awali waliaminiwa na wananchi na walikuwa wakipiga kelele kila dakika kwenye vyombo vya habari mara demokrasia mara katiba ila sasa wamegeukia matumbo yao.
Mwaka 2020 unaweza kuwa ni mwaka wa Neema au balaa kubwa. Tuendelee kuliombea Taifa mana hata viongozi wa dini watabaliki haya mabadiliko baada ya kutumiwa na kutishwa kutenda yale wayatakayo na ukizingatia wameanza kunywa chai.
Jioni Njema
 
Ukitafakari ya Godzilla lazima uwe na adabu na Mungu,saa nane anachati saa tisa yupo kwenye Fridge ,Anayewawazia wenzake Mabaya si bure Uchaguzi anaweza akausikia akiwa kuzimu
 
Hatuwezi kuwa na mrengo mmoja katika kuchambua mambo, nani aliyewaambia kwamba ulimwengu unaweza kuvumilia nchi ya chama kimoja! hao IMF na WB watakuwa wapi kuruhusu haya kutokea, sidhani kama source yako itakuwa na ukweli wowote hapa mkuu
 
Hatuwezi kuwa na mrengo mmoja katika kuchambua mambo, nani aliyewaambia kwamba ulimwengu unaweza kuvumilia nchi ya chama kimoja! hao IMF na WB watakuwa wapi kuruhusu haya kutokea, sidhani kama source yako itakuwa na ukweli wowote hapa mkuu
Si uchambuzi ni TETESI. Ushajiuliza ikiwa wananchi kwa moyo mmoja wakachagua wabunge wa chama kimoja hao IMF na WB watafanyaje. Wataleta uchaguzi tena?. Sayansi itakayotumika si rahisi kuitilia mashaka
 
Si uchambuzi ni TETESI. Ushajiuliza ikiwa wananchi kwa moyo mmoja wakachagua wabunge wa chama kimoja hao IMF na WB watafanyaje. Wataleta uchaguzi tena?. Sayansi itakayotumika si rahisi kuitilia mashaka
Sidhani na wala sifikirii kama wabunge wa upinzani watakuwa wajinga kiasi hicho mkuu, kwani vuguvugu la kudai katiba mpya bado hujalijua? Au kile kilichoendelea Zanzibar what so called Azimio la Zanzibar unafahamu kilijadiliwa kitu gani mkuu? Wapinzani wapo na hawajalala kama unavyofikiri! Time will tell
 
Sidhani na wala sifikirii kama wabunge wa upinzani watakuwa wajinga kiasi hicho mkuu, kwani vuguvugu la kudai katiba mpya bado hujalijua? Au kile kilichoendelea Zanzibar what so called Azimio la Zanzibar unafahamu kilijadiliwa kitu gani mkuu? Wapinzani wapo na hawajalala kama unavyofikiri! Time will tell
Ni sawa ila nawapa angalizo tu. 2020 si mbali.
 
Back
Top Bottom