Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Ni ukweli mchungu ila ndiyo ukweli sasa tutafanyaje,hao akina Mwabukusi, Maria,Fatma Karume,Nshala,Dk Slaa,Jebra Kambole,Sativa nk siyo wapiga kura wa Uchaguzi wa CHADEMA ni wapiga kelele tu za kiharakati ambao kiuhalisia hawana madhara kwenye Sanduku la Kura,na wengine siyo wanachama kabisa.
LIssu kipindi chake chote kashindwa kuwashawishi hawa wanaharakati wenzake hata wawe wanachama tu wa CHADEMA, hiki pekee ni kigezo cha kuonyesha Lissu ana udhaifu mkubwa katika kujenga Chama hivyo hafai kuwa Mwenyekiti achana na hizo nyingine za Uongo,Uchonganishi,Fitna na Majungu.
Watanzania tubadilike hizi kelele zisizokuwa na Vitendo hazina umuhimu wowote katika Chaguzi,hata Uchaguzi Mkuu kelele ni nyingi ila kupiga kura Aah!Mwishoni tukipigwa tunabadili kelele kuwa za kuibiwa, Sikatai CCM wanaiba ila na sisi hatuko serious kabisa katika suala la kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura.
Hebu Fikiria hao kina Kambole,Maria,Nshala nk wangeona CHADEMA ni muhimu si wangekuwa wanachama na wengine leo si wangekuwa wapiga kura?Wangeshindwa kufanya Mabadiliko?Leo Jebra yuko Clouds kumtetea Lissu hata kadi ya CHADEMA hana ataendesha mabadiliko kwa Kelele?Siasa ni Sayansi siyo Miujiza.
Mbowe ni Mwanasiasa anajua Uchaguzi ni Sayansi na Uchaguzi ni Wapiga kura anafanya Mikakati ya kisiasa kisayansi na Kampeni zake kwa wapiga kura.Take it from me narudia Lissu anashindwa asubuhi sana.
Ni mtazamo tu masela msijenge Chuki,Povu Ruksa!
LIssu kipindi chake chote kashindwa kuwashawishi hawa wanaharakati wenzake hata wawe wanachama tu wa CHADEMA, hiki pekee ni kigezo cha kuonyesha Lissu ana udhaifu mkubwa katika kujenga Chama hivyo hafai kuwa Mwenyekiti achana na hizo nyingine za Uongo,Uchonganishi,Fitna na Majungu.
Watanzania tubadilike hizi kelele zisizokuwa na Vitendo hazina umuhimu wowote katika Chaguzi,hata Uchaguzi Mkuu kelele ni nyingi ila kupiga kura Aah!Mwishoni tukipigwa tunabadili kelele kuwa za kuibiwa, Sikatai CCM wanaiba ila na sisi hatuko serious kabisa katika suala la kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura.
Hebu Fikiria hao kina Kambole,Maria,Nshala nk wangeona CHADEMA ni muhimu si wangekuwa wanachama na wengine leo si wangekuwa wapiga kura?Wangeshindwa kufanya Mabadiliko?Leo Jebra yuko Clouds kumtetea Lissu hata kadi ya CHADEMA hana ataendesha mabadiliko kwa Kelele?Siasa ni Sayansi siyo Miujiza.
Mbowe ni Mwanasiasa anajua Uchaguzi ni Sayansi na Uchaguzi ni Wapiga kura anafanya Mikakati ya kisiasa kisayansi na Kampeni zake kwa wapiga kura.Take it from me narudia Lissu anashindwa asubuhi sana.
Ni mtazamo tu masela msijenge Chuki,Povu Ruksa!
