Mwalimu Mlaki
Member
- Feb 11, 2015
- 62
- 8
Nimefuatilia kwa makini sana zoezi la ujazaji wa fomu za kugombea uwakilishi nafasi tofauti katika Wilaya ya Mbogwe nilichogundua uchaguzi huo utakuwa ni mgumu sana na utatawaliwa na kuchafuana kwa wagombea.
Mimi pia nimejaza fomu ya kuomba nafasi ya uwakilishi waalimu(Sekondari) ngazi ya Wilaya.
Mimi pia nimejaza fomu ya kuomba nafasi ya uwakilishi waalimu(Sekondari) ngazi ya Wilaya.