nyamakonge
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 363
- 131
Uchaguzi mkuu wa viongoz wa cuhasso bugando unatarajiwa kukamilshwa j2.wagombea wa kamb zote wanahaha kuweka mambo sawa.mchuano ni kati ya AGUSTINO MSONGE<MD2> na MUSA MDEDE<MD3> mpaka sasa MSONGE anaonyesha dalili zote za kukubalika ndan ya jumuia.