Ragnar Fluke JF-Expert Member Joined May 22, 2012 Posts 374 Reaction score 116 Apr 23, 2013 #21 Kampeni zimeharbk baada mgombea kutoka coet kupanda jukwaani..... Amezomewa watu wametoka nje ya ukumbi........ Kampeni zimeisha vby sn....
Kampeni zimeharbk baada mgombea kutoka coet kupanda jukwaani..... Amezomewa watu wametoka nje ya ukumbi........ Kampeni zimeisha vby sn....
sexologist JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 2,276 Reaction score 976 Apr 23, 2013 #22 mleta thread.. title haiendani na content.. kama huna taarifa waachie wenye taarifa waanzishe uzi. "dont rush to nothng"
mleta thread.. title haiendani na content.. kama huna taarifa waachie wenye taarifa waanzishe uzi. "dont rush to nothng"
MNYISANZU JF-Expert Member Joined Oct 21, 2011 Posts 7,046 Reaction score 1,102 Apr 23, 2013 #23 Taarifa nilizozipata ni kwamba mgombea wa CCM ni Yasini Athuman ambaye anasoma Engineering. Mgombea wa CDM ni Egidy Mkolwe ambaye ni mwaka wa tatu Law ( LLB). Kinyan'ganyiro kimeshaanza.
Taarifa nilizozipata ni kwamba mgombea wa CCM ni Yasini Athuman ambaye anasoma Engineering. Mgombea wa CDM ni Egidy Mkolwe ambaye ni mwaka wa tatu Law ( LLB). Kinyan'ganyiro kimeshaanza.