Uchaguzi 2020 Uchaguzi huu wa 2020 ni kupoteza pesa bure

Uchaguzi 2020 Uchaguzi huu wa 2020 ni kupoteza pesa bure

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi.

Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama kubwa Sana kulifanikisha,ikumbukwe bado tupo katika janga la corona ambalo limetetemesha uchumi wa dunia, kwa nchi masikini kama Tanzania tulitakiwa Sana kuwa makini katika mambo yote ya matumizi

Nije kwenye Mada, hivi mwaka huu kweli kulikua na sababu ya kufanya zoezi la uchaguzi? Kwanini uchaguzi usifanyike 2025 rais atakapotimiza muda wa miaka kumi ?
Pamoja na kua Mimi si mwana ccm lakini bado sioni kwanini tufanye zoezi hilo ambalo matokeo yake(winner) yapo wazi kabisa

Katika siku Chache tu hizi tumesikia baadhi ya viongozi toka chama cha siasa hapa Tanzania Kila mmoja ametangaza kuwania kiti si jambo baya japo palitakiwa kama chama asimamishwe mtu mmoja.... Any way.. Tuache hilo lakini tujiulize hapa hivi ni nani wa kumshinda mh Rais kwenye mpambano huu?

Kwa nia njema kama mtanzania ningeona ingekua vema hizo pesa za uchaguzi huu zingetumbukizwa kwenye afya au miradi mikubwa ambayo bado ipo katika hatua za kati

Mfano kama Ingewezekana kua gharama za uchaguzi ni sawa na kujenga flyover mbili.... Au ni sawa na kuifikisha Sgr morogoro mjini basi kwa mwaka huu ilikua ni bora tuipeleke pesa hii kwenye miradi hiyo mambo yaendelee mbele!

Hayo ni mawazo yangu binafsi nawasilisha.
 
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi.

Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama kubwa Sana kulifanikisha,ikumbukwe bado tupo katika janga la corona ambalo limetetemesha uchumi wa dunia, kwa nchi masikini kama Tanzania tulitakiwa Sana kuwa makini katika mambo yote ya matumizi

Nije kwenye Mada, hivi mwaka huu kweli kulikua na sababu ya kufanya zoezi la uchaguzi? Kwanini uchaguzi usifanyike 2025 rais atakapotimiza muda wa miaka kumi ?
Pamoja na kua Mimi si mwana ccm lakini bado sioni kwanini tufanye zoezi hilo ambalo matokeo yake(winner) yapo wazi kabisa

Katika siku Chache tu hizi tumesikia baadhi ya viongozi toka chama cha siasa hapa Tanzania Kila mmoja ametangaza kuwania kiti si jambo baya japo palitakiwa kama chama asimamishwe mtu mmoja.... Any way.. Tuache hilo lakini tujiulize hapa hivi ni nani wa kumshinda mh Rais kwenye mpambano huu?

Kwa nia njema kama mtanzania ningeona ingekua vema hizo pesa za uchaguzi huu zingetumbukizwa kwenye afya au miradi mikubwa ambayo bado ipo katika hatua za kati

Mfano kama Ingewezekana kua gharama za uchaguzi ni sawa na kujenga flyover mbili.... Au ni sawa na kuifikisha Sgr morogoro mjini basi kwa mwaka huu ilikua ni bora tuipeleke pesa hii kwenye miradi hiyo mambo yaendelee mbele!

Hayo ni mawazo yangu binafsi nawasilisha.
Wazazi wana hasara sana
 
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi.

Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama kubwa Sana kulifanikisha,ikumbukwe bado tupo katika janga la corona ambalo limetetemesha uchumi wa dunia, kwa nchi masikini kama Tanzania tulitakiwa Sana kuwa makini katika mambo yote ya matumizi

Nije kwenye Mada, hivi mwaka huu kweli kulikua na sababu ya kufanya zoezi la uchaguzi? Kwanini uchaguzi usifanyike 2025 rais atakapotimiza muda wa miaka kumi ?
Pamoja na kua Mimi si mwana ccm lakini bado sioni kwanini tufanye zoezi hilo ambalo matokeo yake(winner) yapo wazi kabisa

Katika siku Chache tu hizi tumesikia baadhi ya viongozi toka chama cha siasa hapa Tanzania Kila mmoja ametangaza kuwania kiti si jambo baya japo palitakiwa kama chama asimamishwe mtu mmoja.... Any way.. Tuache hilo lakini tujiulize hapa hivi ni nani wa kumshinda mh Rais kwenye mpambano huu?

Kwa nia njema kama mtanzania ningeona ingekua vema hizo pesa za uchaguzi huu zingetumbukizwa kwenye afya au miradi mikubwa ambayo bado ipo katika hatua za kati

Mfano kama Ingewezekana kua gharama za uchaguzi ni sawa na kujenga flyover mbili.... Au ni sawa na kuifikisha Sgr morogoro mjini basi kwa mwaka huu ilikua ni bora tuipeleke pesa hii kwenye miradi hiyo mambo yaendelee mbele!

Hayo ni mawazo yangu binafsi nawasilisha.
Labda wa rais lakini ubunge na udiwani hapana kuna wabunge vilaza na wavivu wa kufikili kuliko,kukaa nao kwa miaka mitano tena ni hasara kubwa kuliko hizo gharama.
 
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi.

Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama kubwa Sana kulifanikisha,ikumbukwe bado tupo katika janga la corona ambalo limetetemesha uchumi wa dunia, kwa nchi masikini kama Tanzania tulitakiwa Sana kuwa makini katika mambo yote ya matumizi

Nije kwenye Mada, hivi mwaka huu kweli kulikua na sababu ya kufanya zoezi la uchaguzi? Kwanini uchaguzi usifanyike 2025 rais atakapotimiza muda wa miaka kumi ?
Pamoja na kua Mimi si mwana ccm lakini bado sioni kwanini tufanye zoezi hilo ambalo matokeo yake(winner) yapo wazi kabisa

Katika siku Chache tu hizi tumesikia baadhi ya viongozi toka chama cha siasa hapa Tanzania Kila mmoja ametangaza kuwania kiti si jambo baya japo palitakiwa kama chama asimamishwe mtu mmoja.... Any way.. Tuache hilo lakini tujiulize hapa hivi ni nani wa kumshinda mh Rais kwenye mpambano huu?

Kwa nia njema kama mtanzania ningeona ingekua vema hizo pesa za uchaguzi huu zingetumbukizwa kwenye afya au miradi mikubwa ambayo bado ipo katika hatua za kati

Mfano kama Ingewezekana kua gharama za uchaguzi ni sawa na kujenga flyover mbili.... Au ni sawa na kuifikisha Sgr morogoro mjini basi kwa mwaka huu ilikua ni bora tuipeleke pesa hii kwenye miradi hiyo mambo yaendelee mbele!

Hayo ni mawazo yangu binafsi nawasilisha.

Wazo lako ni zuri sana. Kama lengo ni ili pesa zisipotee bali ziende kwenye miradi ya maendeleo, acha tumpe nchi mkuu wa majeshi, na kusiwe na wabunge wala madiwani. Hapo pesa zote zitazookolewa kwenye hizo nafasi zote, zipelekwe kwenye hiyo miradi. Huenda uhuru wa vyombo vya habari umeminywa, na demokrasia yetu kuchezewa, mpaka unaamini mshindi ni huyo unayelishwa propaganda. Tunataka tume huru ya uchaguzi, ili tupate watu wenye ridhaa halisi ya umma, na sio wanaoshurutisha kutawala.
 
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi.

Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama kubwa Sana kulifanikisha,ikumbukwe bado tupo katika janga la corona ambalo limetetemesha uchumi wa dunia, kwa nchi masikini kama Tanzania tulitakiwa Sana kuwa makini katika mambo yote ya matumizi

Nije kwenye Mada, hivi mwaka huu kweli kulikua na sababu ya kufanya zoezi la uchaguzi? Kwanini uchaguzi usifanyike 2025 rais atakapotimiza muda wa miaka kumi ?
Pamoja na kua Mimi si mwana ccm lakini bado sioni kwanini tufanye zoezi hilo ambalo matokeo yake(winner) yapo wazi kabisa

Katika siku Chache tu hizi tumesikia baadhi ya viongozi toka chama cha siasa hapa Tanzania Kila mmoja ametangaza kuwania kiti si jambo baya japo palitakiwa kama chama asimamishwe mtu mmoja.... Any way.. Tuache hilo lakini tujiulize hapa hivi ni nani wa kumshinda mh Rais kwenye mpambano huu?

Kwa nia njema kama mtanzania ningeona ingekua vema hizo pesa za uchaguzi huu zingetumbukizwa kwenye afya au miradi mikubwa ambayo bado ipo katika hatua za kati

Mfano kama Ingewezekana kua gharama za uchaguzi ni sawa na kujenga flyover mbili.... Au ni sawa na kuifikisha Sgr morogoro mjini basi kwa mwaka huu ilikua ni bora tuipeleke pesa hii kwenye miradi hiyo mambo yaendelee mbele!

Hayo ni mawazo yangu binafsi nawasilisha.

Tumeshazoea Serikali ya awamu ya tano kupoteza pesa.

Sh trioni 1.5 zimepotea, Jiwe amezika hela kwenye ujenzi wa uwania wa ndege Chato, amenunua mandege kwa taslimu na yapo tu yamepaki nk.

Tumeshazoea hasara za awamu hii kwani tunajua hata uchaguzi maigizo!
 
Back
Top Bottom