Elections 2010 Uchaguzi igunga; CCM kuibuka kidedea

Kawaida ya chadema..hamuwezi hoja, kazi kutukana tu! Hebu jiangalie mtu mzima upupu uliouandika hapo juu

Kati wa watu wa hovyo humu si ndiyo wewe Rejao? Unawaza kwa ku2mia masaburi yako kwa jinsi yalivyo. Jaribu kutumia ubongo wako kijana.
 

Take-urabu.. pole naona Pombe ulokunywa jana imekuzidi, ume Take urabu kwa wingi sana ukapitiliza na kusahau hata kiswahili. sitaki kuamini kwamba hata darasa moja la kiswahili hujalipitia, Unasema UNATOA MAONI.. hapotena UNATABIRI .. Ebanaee kipi ni kipi, mbona unajichanganya we mkaka.. au ndo kuchanganyikiwa kwenyewe.. Mwenzako CCM-b jana kahitimisha kampeni kwa kuwamiminia wapigakura wake makonde ya kueleweka..Mwambieni Mahona, huto tumichezo twa kuinua viroba vya kg20 kunadanganya sana. unaweza ukadhani wewe ni Vann Dame flan hivi. ..
 
kumbuka shekhe yahya aliponea chupuchupu kipigo cha wapenzi na mashabiki wa simba kwa ajili ya mambo kama unayotaka kuleta hapa, acha ujinga
 
Yahaya kafa na wewe umetokea wapi tena? au ndio unajaribu kumshawishi nape kuwa leo ulikuwa bize ili a issue ulaji wako...? imekula kwako kama ndio mtazamo wako pole na ramli zako
 

Wewe ni mgonjwa mkuu...........
 
Nachukia sana matusi.mtu anayetumia neema alizopewa na mungu kuandika matusi hapa..hatumii vyema hizo neema..mungu atamuuliza na atamuadhibu..
 
Kwani ni lazima ataje uislam,unajua mtu atakama ulianza kuipenda cdm lkn kwa style hii watatupoteza wengi
 

As your avatar name, so is your action! Umekunywa urabu asubuhi
 
wee ndo huna hoja, just jocks
 
Nashukuru nimetumikia adhabu ya kufungiwa na mods baada ya kutofautiana nao... chadema wana kawimbo kao wakishndw kwnye chaguzi huw wanaimba , mara tumechakachuliwa, ccm wamekimbia na masanduku, wameiba kura, matokeo yamebadilishwa...teh teh teh...kwani kila mwaka hamna mawakala au ndo mnatudanganya watanzania...leo mnakatwa kilimi alafu muanze visingizio vyenu...ccm oooyeeeeeeeeeeeeeeeee...ushindi lazima!!!
 

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....! Pole sana!
 
Ndo nini??
 
Usiseme ushindi lazima, utaulazimisha? incase wana Igunga wameamua otherwise?
 
Sidhani kama unaelewa ulichoandika na hivyo hatutegemei ueleweke na mtu mwingine. Simply crapp kwani hata wenyewe ccm wanajua ni wezi ndo maana wana dhana ya magamba. Usitumike tu kutetea uovu bila kutumia akili.
 

mungu akujaalie uepukane na huu umangimeza uliojitwika.
 

Juzi tulikutana pale Mirembe Hospital ukipata matibabu vp umepona? Au ndio unafanya mazoezi kuona kama umepona.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…