Uchaguzi Kenya: All is not well in our neighbour Kenya

Raila anapenda sana damu, yeye ndo chanzo cha chokochoko zote hizi. Kompafu
 
Aisee!
 
Lakini KBC ni govt media, iweje ipotoshe,unapindisha ukweli.
Mungu hawezi kupoteza muda wake kusikiliza maombi ya kipuuzi namna hiyo. Soma Mithali 28:16 a utapata jibu. "Mkuu aliyepungukiwa na akili huonea watu sana" Siyo kwamba hana kabisa akili bali zimepungua. Anajiona ni yeye tu ansyestahiki urais basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…