Aisee!God gave them Brains , and Everything,
Now they want to destroy their country, kwa nini Tuwaombee?
Yaani watu wazima na akili zao timamu wanataka kupigana halafu tuwaombee??
Kama motochini alivyosema
Mafuta yao.
Kibiriti chao
Acha wawashe moto, tukiona unawazidi tutakuja kusaidia kuuzima.
Lakini KBC ni govt media, iweje ipotoshe,unapindisha ukweli.Nimeisoma... Huyo hussler amechukua hio taarifa na kuigeuza kabisa! The general warned that bad politics could make the country break apart (secession) that leaders should seek to unite Kenyans...
Huyo hussler hapo juu amegeuza hio story na kusujjest kwamba ametoa starn warning to
politicians or else he will take action or something like that. Which is not the case...
Remember Gen.Mwathethe comes from Kilifi county, I know the place where the burial happened cause I come from same region... He was only warning that politics will break the country, he however did not place any indication of interfering with politics or election
Mungu hawezi kupoteza muda wake kusikiliza maombi ya kipuuzi namna hiyo. Soma Mithali 28:16 a utapata jibu. "Mkuu aliyepungukiwa na akili huonea watu sana" Siyo kwamba hana kabisa akili bali zimepungua. Anajiona ni yeye tu ansyestahiki urais basi
Huyo atapindisha kila awezavyo ili muradi tu kuonyesha Kenya mambo yapo vizuriLakini KBC ni govt media, iweje ipotoshe,unapindisha ukweli.