Uchaguzi Mbeya Vijijini: Wagombea na Kampeni

Kite Munganga

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2006
Posts
1,773
Reaction score
952
Nimekutana na hiyo heading kwenye gazeti la Nipashe na inavyoonekana chama cha CUF kinajiamini kusimamisha mgombea atakayeshinda kirahisi endapo kitaungwa mkono na vyama vingine, Nabaki kujiuliza ni nani huyo watamsimamisha awagalagaze hao watani wa jadi? anayejua hebu atupe jina la mtarajiwa kutoka CUF tujadili kwa kina jamvini,
 
Last edited by a moderator:
samahan jimbo la Nyaulawa lipo wapi vile...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…