GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Wadau niwadokeze tuu mtazamo wangu kama cdm ikishinda igunga kama inavyoelezwa na wadau kuna uwezekano mkubwa wa chama hiki kuchukua dola 2015. Upi mtazamo wenu?
Ni mtazamo finyu sana wa GT km ww, jimbo moja haliwezi ku represent sample ya majibo zaidi ya 290. Na population ya watu igunga ambao ni wapiga kura ambao hawazidi 300,000 haiwezi kuwa sample ya watanzania wapiga kura zaidi ya 15m. Siku nyingine usilete thread km hizi, unatudhalilisha wote humu ndani na kuonekana wajinga kumbe ni sababu ya mtu mmoja tu
Tatizo hujui kuangalia mambo critically. kwanza CCM ikishindwa Igunga kutakuwa na mgogoro mkubwa sana wa ndani kuhusu maswala ya kujivua gamba. Hasira itawafanya wagombane sana kikao cha NEC kijacho na NEC inaweza kuvunjwa na mgogoro mkubwa sana utaibuka. Hivyo kushindwa CCM si idadi ya kura tu ila mgogogro wa ndaniNi mtazamo finyu sana wa GT km ww, jimbo moja haliwezi ku represent sample ya majibo zaidi ya 290. Na population ya watu igunga ambao ni wapiga kura ambao hawazidi 300,000 haiwezi kuwa sample ya watanzania wapiga kura zaidi ya 15m. Siku nyingine usilete thread km hizi, unatudhalilisha wote humu ndani na kuonekana wajinga kumbe ni sababu ya mtu mmoja tu
CCM ikishindwa IGUNGA ndo maamuzi ya KiMungu na hawanauwezo wa kurudi tena madarakani 2015. Wantaznia tumekosa mtu wa kututetea dhidi ya udhalimu wa magamba ni Mungu pekee ndiye ataye wamaliza hawa hatawafanyaje Mungu akishasema OUT haitabaidlika kuwa IN tena!
Chamsingi Chadema ambao ndo wanaonekana huenda wakawarithi Magamba wanatakiwa kutulia na kutotenda kinyume na mapenzi ya
Mungu.
Mungu gani anaebariki fujo na magomvi,chuki na uhasama,mi naona cdm,si chama cha siasa,maana hakina dira,kila siku kupayuka,na hata wapukutika wake,hawakotayari kukemea maovu miongoni mwao vp wanapata ujasiri kukemea ya wengine,cdm hawana sifa hata ya kuwa na jimbo ni watu kuchoka na ccm,na kama kingekuwepo chama makini basi 2010 ccm kingeanguka ila ndo yale yale siasa za itikadi na kikanda ndizo zinapelekea ccm kuvushinda vyama ushindani,kwa kwakuwa havina sera za kitaifa ila za kimajimbo.
]
Tatizo hujui kuangalia mambo critically. kwanza CCM ikishindwa Igunga kutakuwa na mgogoro mkubwa sana wa ndani kuhusu maswala ya kujivua gamba. Hasira itawafanya wagombane sana kikao cha NEC kijacho na NEC inaweza kuvunjwa na mgogoro mkubwa sana utaibuka. Hivyo kushindwa CCM si idadi ya kura tu ila mgogogro wa ndani
Wadau niwadokeze tuu mtazamo wangu kama cdm ikishinda igunga kama inavyoelezwa na wadau kuna uwezekano mkubwa wa chama hiki kuchukua dola 2015. Upi mtazamo wenu?
Ni mtazamo finyu sana wa GT km ww, jimbo moja haliwezi ku represent sample ya majibo zaidi ya 290. Na population ya watu igunga ambao ni wapiga kura ambao hawazidi 300,000 haiwezi kuwa sample ya watanzania wapiga kura zaidi ya 15m. Siku nyingine usilete thread km hizi, unatudhalilisha wote humu ndani na kuonekana wajinga kumbe ni sababu ya mtu mmoja tu
Ni mtazamo finyu sana wa GT km ww, jimbo moja haliwezi ku represent sample ya majibo zaidi ya 290. Na population ya watu igunga ambao ni wapiga kura ambao hawazidi 300,000 haiwezi kuwa sample ya watanzania wapiga kura zaidi ya 15m. Siku nyingine usilete thread km hizi, unatudhalilisha wote humu ndani na kuonekana wajinga kumbe ni sababu ya mtu mmoja tu