Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Mi nasikiliza Redio Iman wanahubiri chuki tu dhidi ya Wakristo, nimesikiliza Sauti ya Adhana pamoja na Radio Kibra ten na mahubiri yao ni hivyo hivyo, hakuna updates za Igunga

utafute uzima wa milele kaka, achana na hizo propaganda.
 
Time goes on,heart beats increase ana preasure is up...vituo havina watu kabisa.je watu wameenda kula?
 

Yaah huo mgawanyiko ni advantage kwa CDM lakini tatizo wtz wengi akili mgando hawatabiliki kabisa.
 
Bado masaa 5 tu tuanze kukimbiana humu jamvini. Jukwaa litapooza au watu watahamia kwenye Jukwaa la wakubwa kukimbia aibu ya kipigo kitakatifu.....subiri uone.
 
Mama huyu anastaili kuwa mfano mzuri kwa kina mama, Amedhihirisha kuwa anauwezo wa kufanya maamuzi huru na makini kuliko Mama yake mtu flani humu anayemuombea kanga na vilemba.

Huyu mama amenifurahisha sana kwa ujasiri wake, natamani watu wote wa Igunga wangekuwa na mwamko kama huyu mama....Cha kushangaza ni kwamba baada ya huyu mama kuzungumza hivyo TBC wali katisha mahojiano ya moja kwa moja toka Igunga na sasa ni wanaonyesha taarabu tu.
 
Kasulumbai anasema wananchi wamejitahidi kujitokeza.kuna sehemu wapiga kura wamefikia nusu ya walinjiandikisha.
 
Mama huyu anastaili kuwa mfano mzuri kwa kina mama, Amedhihirisha kuwa anauwezo wa kufanya maamuzi huru na makini kuliko Mama yake mtu flani humu anayemuombea kanga na vilemba.

hofu yangu ni usalama wa huyu mama kwa kuwa habari kama hii haiwafuraishi kabisa magamba na mapro-magamba, hata pale tbc kama umeona hawajacomment chochote kuhusu hii issue, ila wamecomment mambo kama kusubiri kulinda kura kwakuwa wanajua inawahusu chadema.
 

niliona ile aisee watu wamekuwa na mwamko mkubwa sana wa kisiasa.. inapendeza kwa mwanamke wa makamo kama yule anakua ana hamasa ya mabadiliko
 
Star Tv live saizi wanakupa updates, wanataka kuweka picha zilizowafikia hivi punde toka Igunga na wamemzungumzia yule mama jasiri aliyekataa kupigia kura chama fulani ambacho hakijawekwa wazi na ajali ya mgombea wa CUF.
 

Fanyeni tathimini basi tujuwe, maana hawa jamaani wanambinu nyingi sana ila mkiwa piga mapema inakuwa vyema sana ili waongoke mchana huu wakalale Singida na Dodoma.
 
Huyo mama inavyosemekana katumwa na CDM ili kupandisha hasira za wana Igunga dhidi ya CCM.Huyo balozi aliemtaja amefuatiliwa na hakupatikana,yaani does not exist.
Unajiongelesha kwa namna flani ya kishosti ili uonekane kama muhusika vile?? Msg sent na TBC wamekatisha shuhuli hii ya igunga ili kuficha aibu. Hapo kwenye red iyo ni hearsay and sisi tumeona live TBC.Think critically.
 

sure apa watatumiza,kwann cdm hawalikataa ili jaman,dah!
 
Afadhali umekubali kushindwa mapeeeema, wenzako bado hawaamini matokeo

Unatafuta ligi hee nani kakubali kushindwa kwani matokeo tayar?CCM kwa kujikaza na kujifariji poleniii watu wamewachoka! Cdm juu igunga umma unaongea
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…