Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020, Members wa JF kuchagua Rais

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020, Members wa JF kuchagua Rais

Sheikh23

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,175
Reaction score
1,934
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...
 
Siyo jf pekee wasomi wote wakipiga kula na wasiyo na darasa waspige kula hakika tutapata raisi bola sana.
 
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...
Humu ccm 99% ni zero brain mkuu, humu Akili kubwa ni wale against na Serikali pamoja na wale wasiofungamana na upande wowote
 
Je kuna haja ya kupiga kura katika uchaguzi wa Tanzania?????
Toa sababu.
 
Ee333
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...
 
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...

Ni wazo zuri. Ila napata shida kidogo pale unaposema tukiruhusiwa kuvote. Kwani na kupiga kura tunaomba ruhusa? au tunapangiwa na mamlaka fulani? Nadhani ni wajibu na haki yetu kuchagua ama kuchaguliwa.
 
Back
Top Bottom