ha ha aa.. Kwa hilo sawa, maana humu kwa kukomalia hawajambo!Labda tuanzishe jeshi letu humu la ku enforce agenda zetu.
mkuu sio "kula" ni "kura" na sio "bola" ni "bora" nikuweke sawa hapo!Siyo jf pekee wasomi wote wakipiga kula na wasiyo na darasa waspige kula hakika tutapata raisi bola sana.
Humu ccm 99% ni zero brain mkuu, humu Akili kubwa ni wale against na Serikali pamoja na wale wasiofungamana na upande wowoteHabari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...
kati ya watakao piga kura huyu asiwe mmoja wao.mkuu sio "kula" ni "kura" na sio "bola" ni "bora" nikuweke sawa hapo!
ha ha ha aaa... Anaweza kujirekebisha kidogo tu na akawa mkali zaidi, ila akibaki hivi atapoteza sifa ya kuchagua!kati ya watakao piga kura huyu asiwe mmoja wao.
Habari wakuu,nimekua mdau wa kusoma mawazo na nyuzi mbalimbali humu JF,ukweli 99% tunajitambua,nimefikiria sana,nimewaza na kuwazua,kwa weledi wa kudadavua mambo mbalimbali ya kisiasa,kiuchumi na kijamii ambao unaonyeshwa na wadau humu,yamkini 2020 JF members PEKEE tukiruhusiwa ku-vote nchi itapata raisi bora (problem solver) hajawahi kutokea..(Ni mtazamo wangu)
Sijui wewe unaonaje,karibu kwa mawazo...