Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020: Mtapigwa tu

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Yaani Uchaguzi ukikarbia shamrashamra nyingi; mara fulani katia nia mara Membe Mara nguvu ya umma itaamua, yaani ni balaa huku na kule kila thread ukifungua ni siasa tu na buku 7 pia hawachoki kuishambulia CHADEMA. Yaani Watanzania mnasahau mambo ya msingi.

Mnaenda kwenye uchaguzi bila huru ili iweje?

Mnaenda kwenye uchaguzi bila katiba mpya ili iweje?

Nasema MTAPIGWA TU. Haijalishi mnalilia haki au mnafanya nini. Vyama vya upinzani MTAPIGWA TU isipokuwa vyama vile ambavyo vimesalimu amri ya mkuu kama NCCR na kadhalika, ila nyinyi wabishi mtapigwa tu. Hamuhoji kwanini mnapigwa? Hamuhoji kwanini kila siku mnafunguliwa kesi mahakamani? Hamuhoji kwanini sheria mbovu zinapita japo nyinyi mnapinga?

Yaani bila katiba mpya mimi msinijue na wale mliozoea kunitumia sms oooh tukapige kura ni haki yetu, nawablock.

Natanguliza shukrani zangu za dhati. Buku 7 pia nawakaribisha.

Mkulu hawez kulubali kudhalilika kuongoza miaka 5 tofauti na wenzake miaka 10. Hawezi, narudia tena hawezi. Hata mumuweke Membe sijui Tundu Lissu, ni kujisumbua tu na kusumbua watu. Kuhusu wabunge mtapewa., ila wachache sana.
 
Subiri kwanza tutafute mtu wa kumteka ili tupate huruma kwa wananchi na mataifa ya nje
 
Hata Malawi walipigwa tu.
Malawi katiba yao nzur na mdio maana mahakama ilifutilia mbali matokeo ya awali nyiny katiba yenu ikoje hairuhusiw kupiga matokeo ya uraisi popote pale ila ya ubunge sawa inaruhusiwa kupinga.
 
Mkuu hivi wewe hushangai hizi teuzi zinazotokea kila mara kwa nyakati kama hizi? Hapo ujue mpambano bado ni mbichi hata Mheshimiwa mwenyewe hawezi kutoa kauli kama hiyo ya kujitangazia ushindi dhidi ya upinzani kwa sasa.
 
Subiri kwanza tutafute mtu wa kumteka ili tupate huruma kwa wananchi na mataifa ya nje
Km kwa lissu na lisasi 36 ilishindikana na wakat kila kitu kipo waz mtaweza wapi katiba mbovu wananchi tumekuwa wanyonge hatuna mahali pa kutemea nyongo
 
Mkuu hivi wewe hushangai hizi teuzi zinazotokea kila mara kwa nyakati kama hizi? Hapo ujue mpambano bado ni mbichi hata Mheshimiwa mwenyewe hawezi kutoa kauli kama hiyo ya kujitangazia ushindi dhidi ya upinzani kwa sasa.
Pyschology ya siasa haimruhusu kufanya ivo japo cku moja moja huwa anamwaga cheche
 
Subiri kwanza tutafute mtu wa kumteka ili tupate huruma kwa wananchi na mataifa ya nje
Mkuu hivi wewe hushangai hizi teuzi zinazotokea kila mara kwa nyakati kama hizi? Hapo ujue mpambano bado ni mbichi hata Mheshimiwa mwenyewe hawezi kutoa kauli kama hiyo ya kujitangazia ushindi dhidi ya upinzani kwa sasa.
Km kwa lissu na lisasi 36 ilishindikana na wakat kila kitu kipo waz mtaweza wapi katiba mbovu wananchi tumekuwa wanyonge hatuna mahali pa kutemea nyongo
Pyschology ya siasa haimruhusu kufanya ivo japo cku moja moja huwa anamwaga cheche
Mtu mmoja tu ndiye anayeogopwa kufa kupona sasa na hawa chama propaganda: TUNDU ANTIPAS LISSU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…