Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020 ulikua Huru na Haki

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020 ulikua Huru na Haki

fullcup

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
809
Reaction score
2,204
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.
 
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.


Mpuuzi wewe, ungesema hivi:- "Katika kituo nilichosimamia uchaguzi, uchaguzi ulikuwa huru na haki".

Hapo ungeeleweka, vinginevyo huwezi kuongea "kwa ujumla" kwa kunukuu matukio mazuri yaliyotokea katika kituo ulichokuwepo wewe., je wewe unajua yaliyotokea katika vituo vyote nchi nzima??!!.

Wewe sio bure bali umelewa pesa za uchaguzi ulizopewa.
 
Mpuuzi wewe, ungesema hivi:- "Katika kituo nilichosimamia uchaguzi, uchaguzi ulikuwa huru na haki".

Hapo ungeeleweka, vinginevyo huwezi kuongea "kwa ujumla" kwa kunukuu matukio mazuri yaliyotokea katika kituo ulichokuwepo wewe., je wewe unajua yaliyotokea katika vituo vyote nchi nzima??!!.

Wewe sio bure bali umelewa pesa za uchaguzi ulizopewa.
Uchaguzi ulikuwa huru na haki katika maeneo mengi.

Sema maeneo machache huenda ndio kulikuwa na udanganyifu.

Kama jimbo la Iringa mjini. Msigwa kashindwa kihalali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.
We una bahati,mi nilipopigia kura kulikuwa na wakala mmoja tu,Ila sikujua kama alikuwa Wa ccm ama chama gani,baadae alikuja wakala mwingine nadhani alijitambulisha kama Wa chauma nadhani,walimzuia wakamwambia barua ya utambulisho INA shida,mpaka naondoka SAA tano dakika 38,alikuwa nje.
 
kama hutojali watajie jina la kituo waelewe
 
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.
Matokeo yalikuwaje? Total number ya kura za mbunge na rais zili tally? Au angalau kukaribiana?
 
Kama huo ni uongo basi amini unachokijua
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Kama kuna mtu anaamini JPM mwamba wa Afrika anahitaji kura za wizi kumshinda TAL dalali wa mzungu, basi nchi hii ina safari ndefu katika kumuondoa adui UJINGA
 
CCM ni jipu na huyo mtumbuaji majipu ndio amekua jipu kubwa inabidi na yeye atumbuliwe. Mtu ambaye hana akili ndio anaweza kusema kama huu uchaguzi ulikuwa wa haki. Nchi imegawanyika na hii ni hatari kubwa.
 
Mimi nilikua msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura. Mambo yafuatayo niliyoyaona katika kituo yanathibitisha hoja yangu.

1: Kufungua kituo
Kituo kilifunguliwa SAA moja kamili na msimamizi wa kituo, ufunguzi ukishuhudiwa na mawakala wa CCM na CHADEMA. Mabox yalifunguliwa na kuonekana hayana kitu na yalifungwa mbele ya wapiga kura na mawakala.

2: Upigaji kura
Majina yalibandikwa ya wapiga kura katika kituo. Karani alikagua vitambulisho na kumwelekeza mpiga kura kwangu. Mimi nilihakiki picha iliyokwenye Id na mhusoka na kusoma jina ili mawakala wasikie na msimamizi asikie na kuandika namba ya ID. Mawakala walikua ni wakazi wa eneo husika hivyo wapiga kura wote walikubali kuwa ni wakazi halali. Karatasi ziliandaliwa katika kazingira ya wazi na kuwekwa kwenye masanduku husika kwa uwazi.

3: Hesabu za karatasi
Mimi nilikua natik majina ya waliopiga kura na mwisho nilipata hesabu ya watu 221 ya waliopiga kura huku wapiga kura 229 hawakupiga kura katika kituo hicho. Vibutu (vipande vya karatasi za kupigia kura vinavyobaki baada ya kuchana karatasi ya kura) vilitumika bunda 4 zenye karatasi 50 na ile ya tano zilitumika nusu. Hivyo baada ya zoezi lakupiga kura kuisha hesabu za karatasi zilijazwa.

4: Kuhesabu kura
Wakati wa kuhesabu kura msimamizi wa kituo alihesabu kura zote katika box kabla ya kujua hii ya nani na ile ya nani. Hii ilikua kuondoa dhana ya kuwa labda watu waliingia na kura kwenye viatu. Lakini hesabu zilibaki ni 221. Hatà baada ya kuzigawa kutokana na kura zilizopatikana pamoja na zilizoharibika bado hesabu ilibaki ni 221.

NB: Naomba niseme madai yanayotolewa na viongozi wa vyama vya kisiasa sio sahihi na kama yangekuwepo basi mawakala wasingesaini au wao tu wasingepiga kura. Kama kuna sehemu mawakala waliondolewa basi waangalie namna nzuri ya kutatua changamoto hizo lakini sio kutudanganya kuandamana.
Hongera Sana kwa Majukumu Mazuri.

Kimsingi hupaswi kutoa hitimisho juu ya huo mchakato kwa ujumla wake kwani zoezi Hilo limechukua sura tofauti tofauti katika maeneo mbalimbali! Na kituo chenu ni kimoja Kati ya vituo 37,407 kwa mwaka 2020 wa uchaguzi.

Ila Kama mchakato ulienda hivyo ulivyosema kwa hapo kituoni kwako/kwenu, ni Jambo la kuwapongeza kwani mmefuata taratibu na maelekezo ya Tume ya Uchaguzi (Kama ulivyosema)

Ukijaribu kusikiliza maeneo mengine, utaratibu huo mlioutumia ninyi haujatumika kwao. Huenda ni kutokana na mazingira ya kituo, watendaji, au sababu nyingine zilizokuwa nje ya uwezo wao.

NB: Ni haki yao ya kimsingi kusema changamoto zao ili waone ni namna gani wanaweza ipata haki wanayoidai pale ambapo wanastahiri haki hiyo Ila watumie njia sahihi ambayo itakuwa rafiki kwa pande zote mbili.
 
Back
Top Bottom