Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.
CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Unafikiri kwa pressure ya nguvu ya umma katika kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo tume itafanya nini???Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.
SafiHakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.
CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
CCM haina ushenzi wa kuiba kura ni dhana tu.kilichopo ni kura za wapinzani aziko pamoja huwa wanagawana,kama zipo 100 zinagawika kwa kila chama cha upinzani hasa hivi vikubwa mwisho wa siku chali.Wasipoiba kura ccm, hamna mshindi kuanzia Urais hadi Ubunge!
Hii dunia kweli ina maajabu yake.Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.
CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.
CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Sisi hapa tunaongelea magwiji wawili Lisu na membe.huyo jiwe akagombee udiwani huko.Ikiwa hivyo basi ni vyema.Magufuli atatoboa mapeema sana.CCM inanafasi ya kutawala hii nchi miaka mingi ijayo.
Sawa bwashee ila october ntakualika kwenye sherehe za kusherehekea ushindi wa kishindo wa Magufuli.Sisi hapa tunaongelea magwiji wawili Lisu na membe.huyo jiwe akagombee udiwani huko.
Udiwani kata gani anagombea.Sawa bwashee ila october ntakualika kwenye sherehe za kusherehekea ushindi wa kishindo wa Magufuli.
Tume na wakurugez wote wenye wajibu wa kutangaza matokeo ni wateule wa mh, je unadhan watakubali kumdisappoint mwajiri na kuhatarisha ugali wao?? NeverCCM kama walikosea au plan wamfukuze Membe ili wapinzani wamdake kama Lowasa hiyo imekula kwao.
Disadvantegies ni nyingi na iwe iwavyo, kama Membe akigombea kwa ticket ya ACT , thats ablessing in a disguise.
Thanks Lord!!
Bwashee inamaana kule kinondon, ukonga, etc hyo nguvu ya uma ilikuwa bado haijazaliwa!? Kiufupi tu wapinzn watakaurudi safari hii ni wale vivuli tu kina mbatiaUnafikiri kwa pressure ya nguvu ya umma katika kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo tume itafanya nini???