Uchaguzi 2020 Uchaguzi mwaka huu 2020 waweza kuwa ACT Wazalendo vs CHADEMA

Naam
 
zitto hawezi kugombea urahisu kamwe coz anajua hatochaguliwa.na atapotea kisiasa mazima co mkaka. yote hii yee atagombea ubunge tu tuu had atakapohakikisha chama kimekuwa kikubwa ndpo atagombea urahid
 
Chadema itakuwa n na nguvu kidogo kuliko ACT; ask me why; Iachane na kupeana viti kienyeji tu bali kila mtia nia agombee kiti anachokitaka, ila baadaye atakayeshinda kiti hicho aungwe mkono na wanachedama wote. Naona kama ACT inakula makombo ya CHADEMA 2015 ambayo CDM haiko tayari kuyarudia.
 
Kweli kabisa, membe awe mgombea mwenza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…