Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 71
Katika mkutano huo natarajia kulieleza taifa mchakato wote wa makubaliano uliofanyika kati ya CUF na CCM... naomba Watanzania waje kwa wingi kuungana na wanafunzi hao na wabunge wa CUF kutoka Ofisi za Bunge kuelekea Nyerere Square.â
Hamad alisema mpaka sasa wananchi wameanza kuelewa umuhimu wa uamuzi huo kwa kuwa wanaendelea kuwahamasisha na wana matumaini makubwa wananchi wataelewa vizuri makubaliano ya kumtambua Rais Karume.
Siku hiyo ya Jumamosi nitaeleza mchakato mzima wa namna chama chetu kilivyotafuta suluhu ya kufikia muafaka,â alisema Hamad.
Maamuzi yaliyofanywa ni matakatifu kabisa na hakuna chembechembe yoyote ya rushwa ikiwa kama kawaida yetu tunatarajia kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu ujao.â
Hamad alisema wakati CCM wanagombana, CUF wanatafuta amani, akisema kuwa chama hicho kikuu cha upinzani visiwani ndicho mbadala kwa uongozi wa Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni, Mohamed Mnyaa alisema licha ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuonyesha CUF imeshika nafasi ya pili, wanachama hawana budi kuzidi kushirikiana na chama hicho ili kupata ushindi zaidi mwakani.
CUF imekuwa chama cha pili kiushindi licha ya sheria kupindishwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita kwa hiyo chama mbadala ni CUF kote Tanzania Bara na Visiwaniâ alisema Mnyaa.
Wiki iliyopita Maalim Seif Shariff Hamad aliwaambia wafuasi wa CUF katika mkutano wa hadhara kuwa wamefikia uamuzi wa kumtambua Rais Karume baada ya kutomtambua tangu mwaka 2005 baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu.
Hamad alisema mpaka sasa wananchi wameanza kuelewa umuhimu wa uamuzi huo kwa kuwa wanaendelea kuwahamasisha na wana matumaini makubwa wananchi wataelewa vizuri makubaliano ya kumtambua Rais Karume.
Siku hiyo ya Jumamosi nitaeleza mchakato mzima wa namna chama chetu kilivyotafuta suluhu ya kufikia muafaka,â alisema Hamad.
Maamuzi yaliyofanywa ni matakatifu kabisa na hakuna chembechembe yoyote ya rushwa ikiwa kama kawaida yetu tunatarajia kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu ujao.â
Hamad alisema wakati CCM wanagombana, CUF wanatafuta amani, akisema kuwa chama hicho kikuu cha upinzani visiwani ndicho mbadala kwa uongozi wa Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni, Mohamed Mnyaa alisema licha ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuonyesha CUF imeshika nafasi ya pili, wanachama hawana budi kuzidi kushirikiana na chama hicho ili kupata ushindi zaidi mwakani.
CUF imekuwa chama cha pili kiushindi licha ya sheria kupindishwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita kwa hiyo chama mbadala ni CUF kote Tanzania Bara na Visiwaniâ alisema Mnyaa.
Wiki iliyopita Maalim Seif Shariff Hamad aliwaambia wafuasi wa CUF katika mkutano wa hadhara kuwa wamefikia uamuzi wa kumtambua Rais Karume baada ya kutomtambua tangu mwaka 2005 baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu.