mkalimwafrika
Member
- Apr 22, 2013
- 45
- 7
jumatatu ni uchaguz wa kumpta rais na msaidzi wake hap ud..katk hali icyo kuw y kawaida uchaguz huu unafanyik wakati ambapo wana udsm wana mwitikio mkubwa wa kupiga kura..hii inasababishwa na serkali ya DARUSO kutuhumiw kumwek aliye kuw wazir mkuu Yasin yusuph ili apitishwe na kushindanishw n kijana anaye onkana kuwa mdogo san Kisango Evance ili ashindwe n huyo wazr mkuu anay maliz muda wak ambay anatuhumiw kutofanya lolote akiw madarkan.....
my take
wana udsm tuwe mfano bora ktk kuelkea ukomboz wa taifa letu kw kupinga viongoz wasio hitaji mabadilko ila tumchague mtu atakaye tutetea sis wasomi wa taifa hili..thanx
my take
wana udsm tuwe mfano bora ktk kuelkea ukomboz wa taifa letu kw kupinga viongoz wasio hitaji mabadilko ila tumchague mtu atakaye tutetea sis wasomi wa taifa hili..thanx