Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Uchaguzi ukiisha matajiri wataendelea kufanya biashara na serikali huku wakiachana na vibaraka wao. Hakutakuwa na burned Visa wala kikwazo chochote.
Matapeli na wapiga deal za uchonganishi watakuwa hawana issue bali kusubiri ikaribie uchaguzi mwngine wazushe zengwe tena kisha wavute $$$ haramu kama kawa.
Hii ndio kazi ya vibaraka tusitegemee kuwa wataisha kamwe sababu wao kwao ni kupiga hela bila kujali nani ataumia.
Tutawasikia na kushuhudia baadhi ya vibaraka wakirudi kuisifia serikali wakitubu kwa paroko na maisha yataendelea.
Matapeli na wapiga deal za uchonganishi watakuwa hawana issue bali kusubiri ikaribie uchaguzi mwngine wazushe zengwe tena kisha wavute $$$ haramu kama kawa.
Hii ndio kazi ya vibaraka tusitegemee kuwa wataisha kamwe sababu wao kwao ni kupiga hela bila kujali nani ataumia.
Tutawasikia na kushuhudia baadhi ya vibaraka wakirudi kuisifia serikali wakitubu kwa paroko na maisha yataendelea.